Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Hivi wanaume mbona kila kitu mnasema tunajilinganisha na nyie? Kwahiyo mnataka wake zenu wasifanye makosa ila nyie mfanye makosa si ndiyo? Naona ndo kujitofautisha mnakotaka huko
Mie huyo wakuongelea chumbani yaani asinioe kabisa maana hatutaelewana kabisa
 
juzi kati wangu kafuta namba zote zenye majina ya kike kwenye simu yangu eti kisa kakuta nimeongea na Magreth wakati Magreth ni dada yangu
Sasa najiuliza huyu nikimuoa itakuwaje, naana ana wivu wa kijinga.
 
Mbona kama hizo kanuni umetunga wewe?
Embu niwekee hizo kanuni na sehem ulipozitoa.
Sijatunga mimi ila nikuulize swali kwahiyo wewe kwako unaona ndoa bora ni ile ambayo mwanaume anafanya makosa kila siku ila mwanamke hafanyi makosa hata siku moja si ndiyo?
 
juzi kati wangu kafuta namba zote zenye majina ya kike kwenye simu yangu eti kisa kakuta nimeongea na Magreth wakati Magreth ni dada yangu
Sasa najiuliza huyu nikimuoa itakuwaje, naana ana wivu wa kijinga.
Swali je huyo Magreth ni dada yako kweli? Jibu unalijua moyoni mwako
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Ww mwanamke unaakili naomba naomba yako nikutafute
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.

Mhhh... kila mtu ana mjua mtu wake... kama kuna kitu kibayaa lazima unafeel... sa usifatilie kisa unaogopa stress!! For me bora nifatilie nikute hakuna ubaya... lakin sikai kama zuzu kwa sababu ya kuogopa stress...


We just have to know how to pick our battles. Ila sio kuachoa ujinga eti bora aseme atachelewa... kila siku anakwambia ‘’ atachelewa” kilasiku anarudi saa nane usiku eti anatafuta ada!!! Anafanya mikutano na majini????
 
Mhhh... kila mtu ana mjua mtu wake... kama kuna kitu kibayaa lazima unafeel... sa usifatilie kisa unaogopa stress!! For me bora nifatilie nikute hakuna ubaya... lakin sikai kama zuzu kwa sababu ya kuogopa stress...


We just have to know how to pick our battles. Ila sio kuachoa ujinga eti bora aseme atachelewa... kila siku anakwambia ‘’ atachelewa” kilasiku anarudi saa nane usiku eti anatafuta ada!!! Anafanya mikutano na majini????
Ni kweli kila mtu anamjua mtu wake. Mfano dada yangu siku moja alisahau kuweka simu kwenye chager. Asubuhi anataka kwenda kazini ndiyo anashtuka battery imekufa kabisa. Mume wake akamuambia kuliko uchelewe chukua simu yangu ili uwe na mawasiliano angalau na mimi nita charge simu yako.

Ananiambia lunch time kuna binti alipiga simu ya mume wake. Aliipokea akamwambia samahani leo mimi nina tumia simu yake, piga saa mbili usiku nitakuwa nimeshairudisha kwa mwenyewe. Yule binti alitaka kumpa ujumbe, dada alimwambia hapana ni bora ujumbe umpe mwenyewe mimi ninaweza sahau mengine. Tafadhali pigs saa mbili.

Kufika nyumbani aliikabidhi simu ya watu na akamueleza kuwa kuna atakaekupigia saa mbili.
 
That's what we do!!

Ndio mana hata Asprin anavyoweka wazi ule mchepuko wake wa kudumu hata mshipa wa tako haukuchezi sababu unajua you are the chosen one
Utachezaje mshipa wa tako wakat ulishawapa wadau wa chimbo waukaze 😂
 
Back
Top Bottom