Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Ila hata maandiko ya biblia imeandikwa mwanamke ni msaidz kwa mwanume,..alafu utamaduni wetu unafanya nyinyi hali iwe hvyo,kumbuka hata hayo mabara mengn yako hvyo,lakn ni sheria tu ndo inatumika na ndo iliweka usawa huo,ila sio kwamba na wao wanataka hapana

Wanawake wetu pia uwa wanajshusha thamani wenyew kitu ambacho kinamfanya mwanaume aendelee kujioana mbabe,hivi nithakueshimu vipi na kila ktu unanitegemea nikupe mimi mpaka hela ya vocha....ila wewe huwez kuninunulia vocha hapana.

Ukitaka tueshimiana tuwaige wenzetu amabo hata hela ya nyanya wanachanjia hela kununua.ila hali ni tofaut kabisa na sheria zetu.ila wenzetu ziko hvyo na ndomana wanaeshimiana kwamaana kwamba kila mtu anamchngo kwny familia na matumiz hayaegamii upand mmoja kama tulivyo waafrica.

Naamn ukiwa mwanamke ambae hufkrii psaa ya mwanaume au vocha toka kwa mwanaume,naamn kila mwanaume atakueshimu....
Ukitaka tuwe hivyo basi na nyie anzeni kufanya kazi za nyumbani na kulea watoto kwa ukamilifu yaani kupika kufua kuosha vyombo kufanya usafi na kulea watoto maana hata wanaume wa kizungu hayo wanayafanya tena wanaona ni kawaida sana na kwa wazungu siyo ajabu mwanaume kuamka asubuhi kumuandalia mkewe chai huku mkewe amelala ila sema tu ukweli hilo africa linawezekana?

Kwahiyo usitulaumu sisi kuwategemea nyie kiuchumi ni kutokana na mgawanyo wa majukumu kwa sababu ukiangalia wanaume majukumu yetu mnaweza kuyafanya vizuri kabisa majukumu ambayo hamuwezi ni kubeba mimba kuzaa watoto na kunyonyesha watoto na hiyo ni kutokana na maumbile lakini majukumu mengine yote mnayaweza ila kwanini hamfanyi mnategemea sisi ndo tuwafanyie? Nijibu hili
 
Kumbe wanaume wengi mnashindwa kuelewa hapa hivi nyie mnaelewa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke iko wapi? Tofauti ipo kwenye jinsia, maumbile, tabia na majukumu ila siyo mapenzi kwenye mapenzi ni lazima kila mmoja ahakikishe anamfanya mwenzie awe na furaha

Sasa mnadhani msipotupenda, msipotuheshimu, msipotusamehe, na msipotuvumilia, ndo mtatufanya tuwe na furaha? Halafu nakazia hapo uliposema kuwa mwanamke ampende mkewe na mwanamke amtii mumewe kwahiyo unataka kusema kwamba kama nyie hamtakiwi kututii basi na sisi hatutakiwi kuwapenda si ndiyo?
Upendo unabeba mambo mengi ikiwa ni pamoja na heshima n.k

Utii ni kiashiria kwamba mwanaume ni kiongozi;unaweza kumshauri ila ushauri wako anaweza asiuchukue vilevile na atakuelewesha kwanini huo sio ushauri mzuri.

Mwanamke akitaka kuwa kiongozi wa mahusiano, hayatadumu hata kama yeye anaona yanaenda kama anavyotaka ajue tuu anatungiwa sheria.
 
Nakuelewa Edelyn .

Bahati mbaya tunabadilishana mawazo kwa kutumia mifano/sampuli zisizofanana.Kwa namna uliyodadafua nakuunga mkono.Hapo unaposema mke akikataa bila ya kuwa na sababu ya msingi inabidi kukaa chini kuongea, ifanyike kwa mda gani?Mimi nimewahi kuwa mshauri kwenye case kama hii ambapo mke hata hana kazi sana ila anasema hajisikii.Mumewe hakuwa akichepuka(namuamini) ila hii issue iliwafanya wawe watu wa kugombana mara nyingi.

Kuna watu hawana kazi ngumu na bado ni wazito kutoa ushirikiano wa tendo.Yaani mtu anapractice sexless mariage kwenye ndoa ya kawaida.
Hapo sasa ndio tatizo
 
Upendo unabeba mambo mengi ikiwa ni pamoja na heshima n.k

Utii ni kiashiria kwamba mwanaume ni kiongozi;unaweza kumshauri ila ushauri wako anaweza asiuchukue vilevile na atakuelewesha kwanini huo sio ushauri mzuri.

Mwanamke akitaka kuwa kiongozi wa mahusiano, hayatadumu hata kama yeye anaona yanaenda kama anavyotaka ajue tuu anatungiwa sheria.
Mbona sisi hatuna shida ninyi kuwa viongozi wetu tunajua kuwa hiyo ndiyo nafasi mliyopewa na Mungu lakini sasa mbona majukumu mliyopewa na Mungu hamyatekelezi ipasavyo?

Kingine nilochogundua ni kwamba wanaume mnadhani mkitupenda na kutokutusaliti basi mnakuwa mmepoteza ile nafasi yenu kama viongozi mnadhani kuwa viongozi ni kuwa wababe na kuwa na wanawake wengi maana tukiwaambia muache hizo tabia mnasema ninyi ni viongozi sasa sijui kwenu maana ya kuwa viongozi ndo hiyo?
 
Unadhani hilo ni kwa sababu gani???
Hata mume huwezi kumxis mke mbele za watu kama amekosea unamtetea mkirudi ndani unamwelekeza...hii ni kwa sababu ya heshima na upendo ulio nao kwake...ukiona mke anakudharau mbele za watu basi kimbia maana kama mbele za watuanakudharau ndani ya nyumba hawezi kukuheshimu
 
Ukitaka tuwe hivyo basi na nyie anzeni kufanya kazi za nyumbani na kulea watoto kwa ukamilifu yaani kupika kufua kuosha vyombo kufanya usafi na kulea watoto maana hata wanaume wa kizungu hayo wanayafanya tena wanaona ni kawaida sana na kwa wazungu siyo ajabu mwanaume kuamka asubuhi kumuandalia mkewe chai huku mkewe amelala ila sema tu ukweli hilo africa linawezekana?

Kwahiyo usitulaumu sisi kuwategemea nyie kiuchumi ni kutokana na mgawanyo wa majukumu kwa sababu ukiangalia wanaume majukumu yetu mnaweza kuyafanya vizuri kabisa majukumu ambayo hamuwezi ni kubeba mimba kuzaa watoto na kunyonyesha watoto na hiyo ni kutokana na maumbile lakini majukumu mengine yote mnayaweza ila kwanini hamfanyi mnategemea sisi ndo tuwafanyie? Nijibu hili
Hivi unafikiri mfumo wa kugawa majukumu kuna atakae kataa,mfano mimi ninunue mboga wewe unanunua unga,.hata kama n kuvua madaso ya mtoto nitafua tu

Hata wenzetu sio kwqmba huwa wanapnda sema tu n sheria inawalazmsha ila na wnyw majumu ya ndan yanabase sana kwa mwanamke..
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Unafaa kuwafunda wenzio - Ahsante sana
 
Hivi unafikiri mfumo wa kugawa majukumu kuna atakae kataa,mfano mimi ninunue mboga wewe unanunua unga,.hata kama n kuvua madaso ya mtoto nitafua tu

Hata wenzetu sio kwqmba huwa wanapnda sema tu n sheria inawalazmsha ila na wnyw majumu ya ndan yanabase sana kwa mwanamke..
Kwanza zamani wazungu wenye uwezo wake zao walikuwa mama wa nyumbani
 
Hivi unafikiri mfumo wa kugawa majukumu kuna atakae kataa,mfano mimi ninunue mboga wewe unanunua unga,.hata kama n kuvua madaso ya mtoto nitafua tu

Hata wenzetu sio kwqmba huwa wanapnda sema tu n sheria inawalazmsha ila na wnyw majumu ya ndan yanabase sana kwa mwanamke..
Hakuna sheria duniani inayomlazimisha mwanaume kufanya kazi za nyumbani ila wazungu ni vile wamestaarabika wameona siyo vizuri wake zao wanasaidia majukumu ya mume halafu waume wasisaidie wa majukumu ya mke

Narudia tena Ulaya siyo ajabu kukuta mume anapika chakula jikoni huku mke amekaa anaangalia runinga sebuleni ila Africa hilo linawezekana kweli?

Kama haliwezekani basi ndo acheni tuendelee kutegemea pesa zenu tu maana hata nyie mnategemea kula vyakula tulivyopika sisi jamani hivi hata hilo nalo bado ni taabu?

Ndo maana nasema wanaume wa Africa mnapenda mteremko sasa mnataka mfanye majukumu gani wenzetu kama majukumu yenu yote tunawasaidia ila nyie ya kwetu hamtusaidii?
 
Hata mume huwezi kumxis mke mbele za watu kama amekosea unamtetea mkirudi ndani unamwelekeza...hii ni kwa sababu ya heshima na upendo ulio nao kwake...ukiona mke anakudharau mbele za watu basi kimbia maana kama mbele za watuanakudharau ndani ya nyumba hawezi kukuheshimu
Noted
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Wanawake wote wangekuwa na akili na mawazo kama yako hakuna ndoa ingevunjika chini jua.
 
Hakuna sheria duniani inayomlazimisha mwanaume kufanya kazi za nyumbani ila wazungu ni vile wamestaarabika wameona siyo vizuri wake zao wanasaidia majukumu ya mume halafu waume wasisaidie wa majukumu ya mke

Narudia tena Ulaya siyo ajabu kukuta mume anapika chakula jikoni huku mke amekaa anaangalia runinga sebuleni ila Africa hilo linawezekana kweli?

Kama haliwezekani basi ndo acheni tuendelee kutegemea pesa zenu tu maana hata nyie mnategemea kula vyakula tulivyopika sisi jamani hivi hata hilo nalo bado ni taabu?

Ndo maana nasema wanaume wa Africa mnapenda mteremko sasa mnataka mfanye majukumu gani wenzetu kama majukumu yenu yote tunawasaidia ila nyie ya kwetu hamtusaidii?
NASISITIZA NI SHERIA NA SIO TAMADUNI,sema wenzetu ni wazuri kuzingatia na kutii sheria na walilizingatia hilo imekuwa kama tamaduni.marekani hapo dhamani mume alikuwa afanyi majukumu ya ndani au kupka kwa ajili yaa mke na pia mume ndo alkuwa mkuu toafuti na saiv wote haki sawa,..kwaiyo maswala ya kupka au kufua hayakumuhusu mwanaume.

Na sheria imesema kwamba majukumu ya ndani ni ya wote wawili..yaan hapo ikimaansha kupga,kulea watoto,kwenda kushop,hata kufua kwaiyo sheria hzo zmewajengea utamaduni,ndomana hata mke akiwa amelala atapga haoni shda maana amezoea sheria hyo.inakuja hata kwny kzaz kngn,mtoto akiona namfanyia mama yke vile na yy atakopy na kupelka kwingn.nna uhakika ushawai kusikia kesi za watu weupe kepeleka mahakamani kisa mume amfanyii kitu fulani.mfano kulea mtoto,unafkr hyo ni tamaduni au sheria.utagundua hyo ni sheria na sio utamadun. thaman haikuwa hvyo,mwanaume alkuwa juu kama tulvyo waafrica.
 
NASISITIZA NI SHERIA NA SIO TAMADUNI,sema wenzetu ni wazuri kuzingatia na kutii sheria na walilizingatia hilo imekuwa kama tamaduni.marekani hapo dhamani mume alikuwa afanyi majukumu ya ndani au kupka kwa ajili yaa mke na pia mume ndo alkuwa mkuu toafuti na saiv wote haki sawa,..kwaiyo maswala ya kupka au kufua hayakumuhusu mwanaume.

Na sheria imesema kwamba majukumu ya ndani ni ya wote wawili..yaan hapo ikimaansha kupga,kulea watoto,kwenda kushop,hata kufua kwaiyo sheria hzo zmewajengea utamaduni,ndomana hata mke akiwa amelala atapga haoni shda maana amezoea sheria hyo.inakuja hata kwny kzaz kngn,mtoto akiona namfanyia mama yke vile na yy atakopy na kupelka kwingn.nna uhakika ushawai kusikia kesi za watu weupe kepeleka mahakamani kisa mume amfanyii kitu fulani.mfano kulea mtoto,unafkr hyo ni tamaduni au sheria.utagundua hyo ni sheria na sio utamadun. thaman haikuwa hvyo,mwanaume alkuwa juu kama tulvyo waafrica.
Lakini pia si ndo walikuwa wanatafuta pesa peke yao na kuhudumia mke na watoto peke yao bila kusaidiwa na mke sijui unaelewa hiyo hoja hapo?
 
usipate shida,tafuta mume bwege awe anakupikia,
Kama mnaona hayo siyo majukumu yenu basi ndo mtafute pesa sasa mhudumie wake zenu na watoto wenu siyo mnalalamika kuwa mnataka wake zenu wawasaidie eti hamtaki wanawake magolikipa wakati wanawake asili yao ni ugolikipa
 
Yap!! tulikuwa hatujaelewana,nilifikiri unasema mwanamke golikipa then tena hapohapo mumewe ampikie
Hapana mkuu hapo hata mimi nimgemkataza kunipikia hapa naongelea kwa wanawake ambao wanatafuta pesa kila siku na wananunua mahitaji ya nyumbani na kuhudumia watoto ndo angalau na waume zao nao wawe wanawasaidia kazi za ndani siku moja moja kama hawana mfanyakazi
 
Back
Top Bottom