Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Lakini pia si ndo walikuwa wanatafuta pesa peke yao na kuhudumia mke na watoto peke yao bila kusaidiwa na mke sijui unaelewa hiyo hoja hapo?
Haya bhana,umeshnda,kwaiyi na nyinyi kuweni wapole kwa kpnd hch tunachopitia
 
Ingekuwa hivo kika mtu angezaliwa pamoja na mke wake kabisaaaa


Rulio uonja utam wa mke uliemtafuta kwa nguvu, ukampenda, ukafuata kila lililotakiwa kufuatwa enzi hizo na bado walijisahau na kututenda,

Je? Kwa sasa ambapo kijana akiwaza kuoa zinakuj sampo kama zoooooooootee sasa kwenye kuoa si kuchagua tena ni kuamua kupendelea tuu.


Usipingane na wakati mama,
Kuoa kwa siku hizi ni kupendelea na hili swala halikuanza leo, limeanza toka enzi zileeee bikra malia alipopendelewa akabarikiwa kuliko wanawake wooooote akamzaaa yesu

Vivo hivyo na mwanaume atamuoa mwanamkea atakaempendelea kuliko wanawake woooote walio mzunguka
Duuh yaani kumuoa mwanamke ni kumpendelea? Wanaume msipofuta hii mentality vichwani mwenu basi wanawake tutaendelea kupata taabu sana kwenye ndoa yaani kitu ambacho maandiko yanakuamrisha ufanye yaani uoe mke mmoja na umpende mkeo wewe unaona kama huyo mkeo umemfanyia favour?
 
Ingekuwa hivo kika mtu angezaliwa pamoja na mke wake kabisaaaa


Rulio uonja utam wa mke uliemtafuta kwa nguvu, ukampenda, ukafuata kila lililotakiwa kufuatwa enzi hizo na bado walijisahau na kututenda,

Je? Kwa sasa ambapo kijana akiwaza kuoa zinakuj sampo kama zoooooooootee sasa kwenye kuoa si kuchagua tena ni kuamua kupendelea tuu.


Usipingane na wakati mama,
Kuoa kwa siku hizi ni kupendelea na hili swala halikuanza leo, limeanza toka enzi zileeee bikra malia alipopendelewa akabarikiwa kuliko wanawake wooooote akamzaaa yesu

Vivo hivyo na mwanaume atamuoa mwanamkea atakaempendelea kuliko wanawake woooote walio mzunguka
Bikira Maria alichaguliwa kwa sababu alikuwa bikira na alikuwa mtakatifu na kumbuka alichaguliwa na Mungu sasa wewe unayetaka upate mwanamke mwenye sifa kama za Bikira Maria je na wewe una sifa kama za Mungu? Hebu tuanzie hapo kwanza
 
Kwani bikra alikuwa peke yake dunia nzima wakati huo?



Ungejaribu kuvivaa viatu vya hawa vijana wa sasa linapokuja suala la kuoa ungeona mateso wanayoyapitia



Ukimchagua mwanamke unategemea angalau akidhi hata robo ya mahitaji yako

Sasa wa siku hizi, ukimuoa tuu ujue umeleta fundi tabia wa ndani,
Halafu anashindwa kujua kabisaaa kwamba umempendelea yeye ataona kama umepata ngekewa kumuoa yeye.


Tukubaliane tuu kwamba,
Sasa hivi kwa akina dada au wanawake wanaamini ukimuoa umebahatika na hukustahili, kwani yeye anajiona sio levo zako,
Wakina kaka au wanaume, akiangalia kundi aliloliweka kwenye mchujo na mchakato wa kuoa ulivyokuwa anakuona kama ulipendelewa vile.

Nini kifanyike?
Unapo amua kuolewa au kuoa anza ukurasa mpya wa maisha, sahau yaliyopita jengeni kadri ya mapngufu yenu. Mbebeane madhai, kila mmoja akubali kuonywa na kuelekezwa na mwenzake
Mfundishane msitishiane

Kosa kubwa.
Kumlinganisha mwenzio na wakwako waliopita hapa mtaumia aseeeee
Bikira Maria alichaguliwa kwa sababu alikuwa bikira na alikuwa mtakatifu na kumbuka alichaguliwa na Mungu sasa wewe unayetaka upate mwanamke mwenye sifa kama za Bikira Maria je na wewe una sifa kama za Mungu? Hebu tuanzie hapo kwanza
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Umeolewa ????
Kama hujaolewa ninatafuta mchumba
 
Kwani bikra alikuwa peke yake dunia nzima wakati huo?



Ungejaribu kuvivaa viatu vya hawa vijana wa sasa linapokuja suala la kuoa ungeona mateso wanayoyapitia



Ukimchagua mwanamke unategemea angalau akidhi hata robo ya mahitaji yako

Sasa wa siku hizi, ukimuoa tuu ujue umeleta fundi tabia wa ndani,
Halafu anashindwa kujua kabisaaa kwamba umempendelea yeye ataona kama umepata ngekewa kumuoa yeye.


Tukubaliane tuu kwamba,
Sasa hivi kwa akina dada au wanawake wanaamini ukimuoa umebahatika na hukustahili, kwani yeye anajiona sio levo zako,
Wakina kaka au wanaume, akiangalia kundi aliloliweka kwenye mchujo na mchakato wa kuoa ulivyokuwa anakuona kama ulipendelewa vile.

Nini kifanyike?
Unapo amua kuolewa au kuoa anza ukurasa mpya wa maisha, sahau yaliyopita jengeni kadri ya mapngufu yenu. Mbebeane madhai, kila mmoja akubali kuonywa na kuelekezwa na mwenzake
Mfundishane msitishiane

Kosa kubwa.
Kumlinganisha mwenzio na wakwako waliopita hapa mtaumia aseeeee
Katika wanaume wote niliobishana nao kwenye huu uzi wewe ndo umeongea kile ambacho nilikuwa najaribu kuwaelewesha wanaume wengine huko juu ila sijui ni kwamba walikuwa hawanielewi au hawataki tu kuukubali ukweli sijui

Lakini hata mimi hoja yangu ilikuwa mume au mke anapokosea, mke au mume wake anapaswa amrekebishe na amkosoe kwa upole na ustaarabu na siyo amlipizie au ashindane naye na huko wala siyo kutafuta usawa bali ni kutafuta amani tu
 
Umeolewa ????
Kama hujaolewa ninatafuta mchumba
Hapana kama hamtaki haki sawa suluhisho ni mwanaume kutekeleza majukumu yako yote ya kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto peke yako bila kutegemea mke akusaidie na mwanamke kutekeleza majukumu yake yote ya kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto peke yake bila kutegemea mume umsaidie hilo nalo ni swala gumu?
 
Aise hiyo ndio maana ya mwanamke mwenye hekima
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.

Wewe ndio wife material. Yani kama ungelikua Single nigelikuchumbia hapa hapa
 
Huko kwenye kuzozana ni nyie wenyewe ndo mnataka tufike kwa sababu hamtaki kuambiwa ukweli
hamna kitu inanikera kama mwanamke anaenipandishia sauti!
I normally flee the scene bila kujibu lolote kuepusha "ajali".Nitakaa huko niendako mpaka akili yako ikurudie,u are calm,then niulize taratibu.ukipandisha naondoka tena au nitakuruhusu uende tu.SIPENDAGI KUZOZANA MIMI!
 
Hapana kama hamtaki haki sawa suluhisho ni mwanaume kutekeleza majukumu yako yote ya kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto peke yako bila kutegemea mke akusaidie na mwanamke kutekeleza majukumu yake yote ya kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto peke yake bila kutegemea mume umsaidie hilo nalo ni swala gumu?
Binafsi akifanya ni kiherehere chake tu.simuombi.Ila mambo yote yatakwenda kwa level yangu ya maisha.misosi,mavazi,starehe,elimu,misaada kwa ndugu nk.kikubwaq tu umekubali kua na mimi,kubali kuwa MKE WANGU TU.Upuuz wa haki sawa unavunja ndoa nyingi sana.What u dont know ni kwamba HAKUNA MWANAUME ANATAKA KUOA "MWANAUME MWENZAKE",kama umenielewa.
 
hamna kitu inanikera kama mwanamke anaenipandishia sauti!
I normally flee the scene bila kujibu lolote kuepusha "ajali".Nitakaa huko niendako mpaka akili yako ikurudie,u are calm,then niulize taratibu.ukipandisha naondoka tena au nitakuruhusu uende tu.SIPENDAGI KUZOZANA MIMI!
Ndiyo haitakiwi mwanamke ampandishie mwanaume sauti ila niamini mimi kuna wanaume wake zao ni wapole na huwa wanawakosoa kwa unyenyekevu lakini bado hao wanaume hawataki kuambiwa ukweli yaani wao wanachotaka ni wake zao wake kimya hata wafanye kosa gani wao wasiongee chochote
 
Binafsi akifanya ni kiherehere chake tu.simuombi.Ila mambo yote yatakwenda kwa level yangu ya maisha.misosi,mavazi,starehe,elimu,misaada kwa ndugu nk.kikubwaq tu umekubali kua na mimi,kubali kuwa MKE WANGU TU.Upuuz wa haki sawa unavunja ndoa nyingi sana.What u dont know ni kwamba HAKUNA MWANAUME ANATAKA KUOA "MWANAUME MWENZAKE",kama umenielewa.
Sasa kwa mtazao wako huo unafaa uoe mwanamke ambaye hajasoma na wala hana mpango wa kujiendeleza kimaisha siyo unasema hivyo halafu unaona mwanamke aliyesoma na ana mpango wa kujiendeleza kimaisha halafu unategemea akae nyumbani kama mama wa nyumbani huo utakuwa uongo na utakuwa unamtia majaribuni tu mtoto wa watu
 
Ndiyo haitakiwi mwanamke ampandishie mwanaume sauti ila niamini mimi kuna wanaume wake zao ni wapole na huwa wanawakosoa kwa unyenyekevu lakini bado hao wanaume hawataki kuambiwa ukweli yaani wao wanachotaka ni wake zao wake kimya hata wafanye kosa gani wao wasiongee chochote
Unapaswa kuwa rafiki yangu,marafiki huwambiana ukweli.."oya jana umenikwaza kinoma jamaa yangu,hivi simu za usiku usiku vile si kudharauliana best?",mi siwez kasirika ukiniambia hivyo na nitajisikia vibaya. SaSA ukikaa kimya si hata nikikuzingua kitandani utashindwa kuniambia?au nitashindwa hata kukutania ulivyoharibu sura wakati "nakusulubu"?.we ni rafiki yangu sana,ILA USINIFOKEE TAFADHALI.NTAPABADILI HOME PAWE PA KUJA KULALA TU
 
Sasa kwa mtazao wako huo unafaa uoe mwanamke ambaye hajasoma na wala hana mpango wa kujiendeleza kimaisha siyo unasema hivyo halafu unaona mwanamke aliyesoma na ana mpango wa kujiendeleza kimaisha halafu unategemea akae nyumbani kama mama wa nyumbani huo utakuwa uongo na utakuwa unamtia majaribuni tu mtoto wa watu
By "kuwa mke wangu" sikumaanisha awe mama wa nyumbani.kama ni elimu au biashara akitaka hata mimi nitamsaidia afikie ndoto na malengo yake.kuolewa na mimi sio kaburi la ndoto zake.Ila kimsingi ilimaanisha aweze kuassume majukumu yake na atambue nafasi yake kama mke wangu na mimi nitakua mume kwake.elimu nyake,kazi yake,cheo na nafasi yake kwenye jamii aviweke getini kwa nyumba yangu anaporudi jioni...AWE MKE WANGU.
 
Back
Top Bottom