🤣🤣🤣🤣Naomba maoni yako kwenye hii mada.🤣🤣🤣 Dharau eeh
Dada kuna michepuko haina adabu inatafuta hadi namba za mke na kumletea ubabe kuna mfano mmoja niliambiwa siku hiyo mke wa mtu amekaa ametulia zake ghafla namba ngeni inapiga kupokea kidada kinajitambulisha kama mchepuko wa mume wake halafu kwa kejeli kinasema eti "nina mimba ya mume wako" yule mke alitumia busara sana kumjibu akamuuliza kwa upole tu "kwani yeye mwenyewe umeshamwambia?" eti kakajibu "ndiyo anajua" mke akamwambia "sasa kama yeye tayari umeshamwambia anajua mimi unaniambia ili nifanyeje?" kenyewe kakaona aibu kakakata simu hii michepuko saa nyingine ndo ina kiherehere cha kutafuta namba za wake haya unakuta mume alikuwa anaficha ila mchepuko ukafichua hapo mke afanyeje jamani?


mimi kama naibu katibu wa chama cha michepuko Tanzania nitamkanya kwa kivunja katiba ya chamaHio ni Wagalatia 3 mstari wa 9! 😂Aisee nimeitafuta hiyo sehemu palipoandikwa watakuwa mwili mmoja kitandani tu nimeikosa hebu nisaidie basi imeandikwa wapi yaani kitabu gani sura ya ngapi na mstari wa ngapi?
Kwa hiyo tukiwa sebuleni sisi si mwili mmojaEti eeh, but kimsingi tunaungana kwenye 6×6 mamii
Ukimsindikiza kwa macho inatosha ila ukianza kumsindikiza na kwa miguu au usafiri hayo sasa ni makusudimac
macho hayana pazia
Sawahahah nawakilisha wana tu![]()
hapana kwa kweli hata Mungu alisema usimuache mwenzio akateketea kwa kutenda dhambi unatakiwa umkanye kile kitendo cha kumkanya tu umeshapata thawabu usimlazimishe aache wewe mkanye tu halafu yeye ndo ataamua afuate ushauri wako au auache
Sasa nashangaa wanawake wanaodhani kukalia kimya maovu ya waume zao eti ndivyo Mungu anavyotaka kwani waume zao siyo watu? My friend I will speak even if I see a text saying 'hi' as long as it is from a woman I will talk oooo chaeee![]()
Yaani hawa watu wanavyochekelea humu ndio uone hali halisi!🤣🤣🤣🤣Naomba maoni yako kwenye hii mada.
Ah mimi ndo maana siwalaumu wale wanawake wa tit for tat japo mimi siwezi kuna wanawake wengine mume akimwaga ugali yeye anamwaga mboga mume akinywa beer yeye anakunywa wine na wapo ambao hizo mbinu zinafanikiwa mume ndo anaishia kuumiamimi kama naibu katibu wa chama cha michepuko Tanzania nitamkanya kwa kivunja katiba ya chama
Yah mi naona ni burudani isio na kifani kabisa. Tena ikibidi nenda hata kaongelee ndani ya gari parking.Kwa hiyo kwenda kuongelea kwetu pembeni ni sawa tu
Daah, Mimi nafuatilia nanusa hadi nguoHahahaha ila mnafatilia sana.
Sitakutupa nitakupokea. Ila punguza kidogo hahaha


nikikutana na harufu ambayo siielewi ndiyo basi tena. 


Mungu anakuona.Hio ni Wagalatia 3 mstari wa 9!![]()
Kwa kweliSasa kama kashapigwa chini tufanyeje, ni kumuombea pepo tu maana ni mwanamke wa shoka!
We kwa lawama hizi unaachaje kuwa tit for tat! sema approach tu zinatofautiana ila kununa nuna haikwepeki kama paka wa kirusi!Ah mimi ndo maana siwalaumu wale wanawake wa tit for tat japo mimi siwezi kuna wanawake wengine mume akimwaga ugali yeye anamwaga mboga mume akinywa beer yeye anakunywa wine na wapo ambao hizo mbinu zinafanikiwa mume ndo anaishia kuumia
Daah, Mimi nafuatilia nanusa hadi nguonikikutana na harufu ambayo siielewi ndiyo basi tena.
![]()
hahah mi nawewe tuwapo wawili ni mwili mmoja hata ikiwa jikoni. Lazma tukamilishe maandiko hata kwenye makochiKwa hiyo tukiwa sebuleni sisi si mwili mmoja
Ndio unalifukuzilia mbali 😄😄😄😄😄😄unakuta ni learner sasa, pimbi haijui kutuliza wenge! unaambiwa kuanzia saa 1 jioni usipige...lenyewe linapiga lione itatokea nn
Mada imepokelewa kwa furaha upande wa kiumeni.Yaani hawa watu wanavyochekelea humu ndio uone hali halisi!
Ni mwendo wa kukabana hadi penati tu! hamna namna
Hahahaa lol bado umeshikilia msimamo wako kwamba tunakuwa mwili mmoja kwa bedhahah mi nawewe tuwapo wawili ni mwili mmoja hata ikiwa jikoni. Lazma tukamilishe maandiko hata kwenye makochi