Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

pepo ameumbiwa mwanamke kama wewe mkuu,
hapana kwa kweli hata Mungu alisema usimuache mwenzio akateketea kwa kutenda dhambi unatakiwa umkanye kile kitendo cha kumkanya tu umeshapata thawabu usimlazimishe aache wewe mkanye tu halafu yeye ndo ataamua afuate ushauri wako au auache

Sasa nashangaa wanawake wanaodhani kukalia kimya maovu ya waume zao eti ndivyo Mungu anavyotaka kwani waume zao siyo watu? My friend I will speak even if I see a text saying 'hi' as long as it is from a woman I will talk oooo chaeee
 
Niko poa my sister. Ubize umezidi aisee.

Lakini nipo huwa nachungulia mara moja moja
Asante my brother mzima wewe?
Umekuwa hadimu sana huku, huo ubize siyo wa nchi hii kaka yangu.
 
Huyo mjuba kweli alikuwa serial kabisa, yani kama silaha ni lethal weapon. Sema tuongee yote ila mapenzi ya kibongo bila u FBI ni kitendawili.
Dont ever love blindly in.Tz


Mchuga chuga wewe upo kimtaa mtaa sana safi sana aisee unakuwaga FBI sometimes
 
What about serial cheaters? Unaitaka ndoa, unampenda sana na ushamwambia hupendi baadhi ya vitu ila wala hana mpango wa kubadilika? Nasema hivyo because nilikaa kwenye ndoa 8 years sijawahi hata siku moja kufungua simu ya mume wangu, wala hajawahi hata kunipa simu nipige picha hata za matukio ya kawaida... but here I am, no husband 😀😀. Of course his LOSS! but my point ishuwa najiambia kama ningekuwa namkagua ama namfanyia vurugu kidogo labda angeogopa, or maybe ningejua mapema wapinzani wangu! Nimekuja kushtuka wameshazaa watoto wawili uhawara uliokubuhu ndio wanakumbuka kuoana.😀
Mwe mwe mweeeeeeh!!
Heaven Sent umesoma hii?

Mie nitafuatilia tu, acha nikutane tu na ninachokitafuta.
 
hapana kwa kweli hata Mungu alisema usimuache mwenzio akateketea kwa kutenda dhambi unatakiwa umkanye kile kitendo cha kumkanya tu umeshapata thawabu usimlazimishe aache wewe mkanye tu halafu yeye ndo ataamua afuate ushauri wako au auache

Sasa nashangaa wanawake wanaodhani kukalia kimya maovu ya waume zao eti ndivyo Mungu anavyotaka kwani waume zao siyo watu? My friend I will speak even if I see a text saying 'hi' as long as it is from a woman I will talk oooo chaeee
Unaongea kama kuna aliyekupigia simu na kutukana au amekukosea heshima lakini kuchunguza simu hakusaidii, mwenye tabia yake anayo tu.
 
Back
Top Bottom