Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,173
- 190,742
Una haki ya kutembea kifua mbere, upo on de raiti traki...japo najua ni fiksi tu hizi hapa.Na kama sikuolewa bikra lakini bikra kaitoa yeye yeye kabla hajanioa?
Una haki ya kutembea kifua mbere, upo on de raiti traki...japo najua ni fiksi tu hizi hapa.Na kama sikuolewa bikra lakini bikra kaitoa yeye yeye kabla hajanioa?
Sasa kununa siyo tit for tat, tit for tat ni kulipiza yaani ile mume akirudi saa sita usiku mke anarudi saa nane usiku mume akichepuka na wawili mke anachepuka na wanne sasa wapo wanawake mabedui wanaoweza hayo na wanafanikiwa ila mimi sihitaji hiyo mbinu nitatumia mbinu tofauti kabisa yaani mwanamke ukishamjulia mwanaume wako wala hakusumbui.We kwa lawama hizi unaachaje kuwa tit for tat! sema approach tu zinatofautiana ila kununa nuna haikwepeki kama paka wa kirusi!
Kwani uongo???Mmmh!
Ukishamjulia we fanya kinyume chake tu. Hapo utafaulu sanaSasa kununa siyo tit for tat, tit for tat ni kulipiza yaani ile mume akirudi saa sita usiku mke anarudi saa nane usiku mume akichepuka na wawili mke anachepuka na wanne sasa wapo wanawake mabedui wanaoweza hayo na wanafanikiwa ila mimi sihitaji hiyo mbinu nitatumia mbinu tofauti kabisa yaani mwanamke ukishamjulia mwanaume wako wala hakusumbui.
naliingiza kwenye laiti traki ya list nyeusi (blacklist)Ndio unalifukuzilia mbali 😄😄😄😄😄😄
Sasa huyo mshkaji nae alivuka mipaka. Mchepuko anakuwaje na mimba yangu???Dada kuna michepuko haina adabu inatafuta hadi namba za mke na kumletea ubabe kuna mfano mmoja niliambiwa siku hiyo mke wa mtu amekaa ametulia zake ghafla namba ngeni inapiga kupokea kidada kinajitambulisha kama mchepuko wa mume wake halafu kwa kejeli kinasema eti "nina mimba ya mume wako" yule mke alitumia busara sana kumjibu akamuuliza kwa upole tu "kwani yeye mwenyewe umeshamwambia?" eti kakajibu "ndiyo anajua" mke akamwambia "sasa kama yeye tayari umeshamwambia anajua mimi unaniambia ili nifanyeje?" kenyewe kakaona aibu kakakata simu hii michepuko saa nyingine ndo ina kiherehere cha kutafuta namba za wake haya unakuta mume alikuwa anaficha ila mchepuko ukafichua hapo mke afanyeje jamani?
Mi nawewe ni mwili mmoja kokote pale sio lazma bed. Mradi kuwe na faragha tu maana kuna mambo sitaki watu wajue nakufanyia😁😁😁Hahahaa lol bado umeshikilia msimamo wako kwamba tunakuwa mwili mmoja kwa bed
mi sijaifurahia kabisa huez amini😂 wanawake wanateseka sana mi sijapenda. Hapa lazma tukaguliwe ili kubaki on de laiti tilakiMada imepokelewa kwa furaha upande wa kiumeni.
Yeah najifanya Luna document naitafuta huko nimeisahau gariniYah mi naona ni burudani isio na kifani kabisa. Tena ikibidi nenda hata kaongelee ndani ya gari parking.
Nikuulize swali wewe mke wako akiwa anafanya mabaya wewe utafanya kinyume chake yaani kwamba utafanya mazuri? Naomba usiseme kuwa tunashindana maana hata wanawake nao ni binadamu nijibu hapoUkishamjulia we fanya kinyume chake tu. Hapo utafaulu sana
Tena mchana kweupeeeKwani uongo???
Mi nawewe ni mwili mmoja kokote pale sio lazma bed. Mradi kuwe na faragha tu maana kuna mambo sitaki watu wajue nakufanyia![]()



Nikupongeze una uwezo wa kubaridika kama kinyongami sijaifurahia kabisa huez amini😂 wanawake wanateseka sana mi sijapenda. Hapa lazma tukaguliwe ili kubaki on de laiti tilaki
Khaa hivi wanaume mko serious au mnatuzuga tu hapa? Yaani unataka kuniambia kwamba hamjui kuwa kuna wanaume wenzenu wanachepuka hadi wanazaa watoto nje ya ndoa au mnajitoa ufahamu tu?Sasa huyo mshkaji nae alivuka mipaka. Mchepuko anakuwaje na mimba yangu???
AiseeeYeah najifanya Luna document naitafuta huko nimeisahau garini
Nyoomi sijaifurahia kabisa huez aminiwanawake wanateseka sana mi sijapenda. Hapa lazma tukaguliwe ili kubaki on de laiti tilaki
Hatari sana mkuu! Leo naelekea sehemu flani simu inaita namwambia call me after like 30 minutes ananiambia kwani nataka nifanye nini?? Nkalikatia simu na nkaliblockia mbali huko.naliingiza kwenye laiti traki ya list nyeusi (blacklist)
Ningekuwa na namna ningethibitisha sio uongo. Ila sina ndio basi tuTena mchana kweupeee