Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Kukemea kwa sabab anaongea na simu pembeni???Kukumbusha kupo kama kuna moja mbili tatu nk lkn si kumfanya akose uhuru na simu yake
Hivi kweli kwenye ndoa kuna vitu vingine vya kufichana zaidi ya michepuko? Basi nasikitika kusema kuwa hatujui nini maana ya ndoa na nini maana ya kuwa mwili mmoja
 
Swali ni je hilo hata wanaume wanaweza kufanya? Yaani mke simu inaingia anaenda kuongelea chumbani halafu mume kakaa tu hana hata wasiwasi na wala haulizi ni nani aliyepiga simu?

Wanawake tunaweza ila na wanaume wanaweza? Na wao wakiweza basi hakika ndoa itakuwa tamu zaidi ila siyo hawa wanaume wa kiafrika kila kitu utasikia "mimi ndo mwanaume humu ndani na mimi ndo niliyekuoa" ishiii kwahiyo?
Ukifikia hapo uwe ushaomba usafishiwe chumba kwa babaako maana unarudi mda si mrefu kwenu. Hivi nyie watoto mlikulia kwenye nyumba gani jamani? Au mmekuzwa vituoni? The way your mom respected your father is the way you have to respect your man. Period!!!
 
Sasa cha kuomba ni kupata mume muaminifu ila sio kulazimisha mume wako awe muaminifu. Kama hujabahatika kupata jamaa anayeheshimu hisia zako to an extent asiwe ana cheat ukapata kichaa ujue utateseka sana.

Piga sana dua, wanaume tunatofautiana sana. And from a closer look you seem to be so controlling. Hio sio character nzuri try to change.
No my friend I am not controlling and I wouldn't want to be like that mimi nadhani haujanielewa tu au labda nikuulize hili swali ina maana unataka kusema kwamba mke akifanya makosa mume wake apaswa amuadhibu ila mume akifanya makosa mke hatakiwi kuongea chochote akae tu kimya? Hebu nijibu kwanza hapo
 
Kumbe kurespect mtu ni kumuacha achepuke kwa uhuru....sikujua aisee
Ukifikia hapo uwe ushaomba usafishiwe chumba kwa babaako maana unarudi mda si mrefu kwenu. Hivi nyie watoto mlikulia kwenye nyumba gani jamani? Au mmekuzwa vituoni? The way your mom respected your father is the way you have to respect your man. Period!!!
 
Ukifikia hapo uwe ushaomba usafishiwe chumba kwa babaako maana unarudi mda si mrefu kwenu. Hivi nyie watoto mlikulia kwenye nyumba gani jamani? Au mmekuzwa vituoni? The way your mom respected your father is the way you have to respect your man. Period!!!
Basi na wewe nijibu hili swali kwahiyo wanaume mnafanya makosa kwa makusudi mkitegemea kwamba wake zenu watawaheshimu na kuwavumilia si ndiyo? Ndo heshima mnayoitaka hiyo? Mbona nimeuliza hili swali mara kibao ila hadi sasa hamna mwanaume anayejibu hili mnazunguka jibuni hili basi labda mimi ndo siwaelewi
 
Kwahiyo dunia ndo ingekuwa sehemu salama baada ya nyie kuchepuka?
Sio Kuchepuka tu, bali kufanya mambo yako kwa uhuru bila kufatiliana na kuchunguzana kama vile umefuga Li FBI ndani.
Mara nyingi wanawake hua mnaongozwa na hisia, unaweza ukahisi tu jambo bila hata kua na ushahidi wa uhakika halafu ukaleta tafrani ndani ya nyumba mpaka nyumba inageuka kua ni uwanja wa vita.
 
Back
Top Bottom