Wanawake sio watu wazuri

Wanawake sio watu wazuri

Hakuna haja ya kupoteza gharama cha kwanza mwambie afuate masharti yako hawezi mwambie sawa huduma zitaendelea akiweza.

Hawa viumbe wa ajabu sana mi kuna binti nilibambikiwa na washkaji kisa waliona mi sitongozi mademu basi wakanisakizia bila taarifa wakadai huyu jamaa anataka kumuoa mdogo wako .......ss wakaniacha na demu basi mm kila nikimuulizia kuhusu huyo mdogo wake yy anakaba njia nikamwambia basi nipe namba yake ya simu akasema dogo hana simu.

Tukaendelea kuwasiliana kila siku yy anakaba njia basi nikalazimika kupita naye mwenyewe,safari ikakolea mpaka siku anasema ana mimba nikamwambia poa.

Sasa mzigo umekua nikamuuliza anakadiria kujifungua mwezi gani maana mm nilinote down siku ya hiyo show akataja mwezi wa 3 kwenye tarehe15 nikamwambia haiwezekani unatakuwa ujifungue kuanzia mwezi wa 5 ndio mm nitakuwa nahusika maelezo kibaoooo ooh utakuwa umesahau na story nyingi nyingi mwezi wa 3 ukapita nikamuuliza unaona hebu sema vlinic wamekadiriaje akasema kwenye mwezi wa4 kabla ya tar20 nikamkatalia tena nikamwambia huyo mtoto km ni wangu inabidi ujifungue kuanzia Tar7 hadi 20 mwezi wa5 la sivyo kutakuwa na shida..Bwana bwana binti si akajifungua tarehe 10 mwezi wa 5 kweli basi kidume nikajiona mshindi mahitaji kedekede ila kilichokuja kutokea nikaambiwa mtoto kuna jamaa anampost FB km baba yake kufanya utafiti wangu nikagundua sina changu nikafuta kila kitu sinaga habari na kuumia kwenye watoto yaani ni suala lisilo na nafasi kwangu kuniumiza.

Mtoto ss hv ana miaka2 ikifika tarehe 10 mwezi huu,maisha yasonga nikiwa sina mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana hawa Viumbe nyoka sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasababu wote walioenda kupima walikuwa na mashaka na uzao wao hivyo probability ya kukuta sio wao ni kubwa mno. Ni sawa na hospitali asilimia kubwa ya wanaoenda hospitali aidha nki kuwa wanaumwa au Wana uhitaji wa huduma za afya, ni Mara chache kukuta machinga au fundi ujenzi akizengea zengea hospitali.
Kama sikosei, ripoti ya mkemia mkuu mwaka 2018 ilisema kati ya wanaume waliopima asilimia 78 waligundua watoto siyo wao.

#KuchapiwaHakuepukiki
#KuchapiwaNiSiriYaNdani
#KitandaHakizaiHaramu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina haja ya DNA huyo mtoto sio wako. Lala mbele mkuu.
Pole sn kamanda hii stor yko ndio imatrend kwangu kwa sasa nimegoma kutuma pesa za matumiz mpaka nipime DNA kuna girl kajifungua juzi anadai mtoto ni wangu kinachonitatiza ni maneno yke
1.alidai mimba imetungwa nje ya mfuko wa uzaz
2.aliwah tuma sms eti anamwambia rafik yke aje kwake weekend amuone shem wake nilishtuka sn na ile sms nilipomuuliza akasema eti anatanianaga na rafik yke
3.Mara ya mwisho kusex nae nikihesabu miez adi anajifungua haijafika tisa na miez kadhaa alikuwa mkoan kwa mantik nyingine ckulala nae miez km 3 nyuma
4.kajifungua nimemwambia anitumie pic ya mtoto kasema hana smart nilipomwambia aazime kasema hana wa kumuazima

NAOMBEN USHAUR pia naomba kujua gharama za kupima DNA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasababu wote walioenda kupima walikuwa na mashaka na uzao wao hivyo probability ya kukuta sio wao ni kubwa mno. Ni sawa na hospitali asilimia kubwa ya wanaoenda hospitali aidha nki kuwa wanaumwa au Wana uhitaji wa huduma za afya, ni Mara chache kukuta machinga au fundi ujenzi akizengea zengea hospitali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofu kozi
 
Haina haja ya DNA huyo mtoto sio wako. Lala mbele mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itakuwa kwel maana ni misukosumo tu toka siku ya kwanza nakumbuka baada ya kusex nae eti akaanza kunilaumu eti nimemkojolea nikamwambia acha ufala nenda bafuni ukaoge uyu inaonekana mimba alishaibeba mda so akatafuta game ili arishie huku sasa kaja kukuta mm mbish kila cku ni bra bra tu
 
Manzi fulani nilipata kuwa

Alikuwa wa kawaida, sio pisi kivile au OVYO kilive, mshikaji nikajiona ni wakatu wa kutafuta pahala pa kuweka mbegu zangu, nikawa naye kwa kitambo kwenye hiyo relationship.

Hata Bi mkubwa akapata kumfahamu (sikuwahi tambulisha mtu yeyote wa aina ile hapo before). Nilifanya hivyo kubuild trust kwa Manzi.

Katika kujiongeza thamani nikawa nafanya kila kitu kile nitarajiwacho kufanya kwa Manzi, Miezi ikasonga, ikafika muda akasema yuko na mtoto kwa tumbo. Mzee mzima nikawa excited sana kujua sasa nakuwa Dady. Hata nika mtell Bi mkubwa, naye akanipa Hongera yake.

Siku zikaende, akaja kutaga mtoto. Nikamuita Owden.

Baada ya wiki chache nikaenda kumpeleke Owden kwa Bibi yake akapatepo vibaraka, tulienda sote na *****.
Maisha yakawa yanaendelea, Sikuwa na kipato cha kutisha sana ila baada ya Manzi kutaga mtoto nikawa nina mCash USD 100 Kila week. Hiyo ni kwa ajili ya matumizi yake na Owden.

MWAKA 1 na NUSU Baadaye. Ninakuja kugundua owden sio Mwanangu wa Damu. Dah IKANI PAIN KINOMA.

Hata kwa job nikawa nakosa mshawasha wa kupiga kazi. Kimwili ni kionge fulani hivi, ila baada ya kujua ukweli kuhusu Owden nikawa kama mgonjwa wa HVI. Nikawa nakula gambe sana, nashinda sana viwanja kujua itanipunguzia PAIN. Ila hakuna kilicho badilika.

Sometime naingia kwa Job nikiwa tungi mzee baba. Dah hadi nikapoteza kazi. Nikawa nashinda home tu. Mshakaji wangu akija nitembelea home anakuta chupa za gambe mithili kulikuwa na Party ghetto kwangu.

Ilinichukua muda kama miezi 2 hivi ndio kuja KumTell Bi Mkubwa kuwa Owden hakuwa wangu. Bi mkubwa kasema Nisijali mzee baba, kwamba mimi sio wa Kwanza kupitia hiyo Changamoto. Na kwamba ni vyema nimetambua hilo hivi sasa.

Kumbuka hapo nilikuwa tayari nimeachana na Manzi mazima kabisa yaani. Ilinichukua muda kuwa normal. Mshkaji wangu alikuwa nanipa kampani ya kunitoa Oot na Kwenye MaClub ili nisahau Yote yaliyotokea. It Worked.

Baadaye nikapata Job pahala pengine. Life ikaendelea. Baaday kama miezi 7 Maisha yalikuwa yamempiga sana Manzi. Akawa ananitafuta kwenye simu, whatsapp, FB, nk. Ila mzee baba nikamkkatia kamba mazima. Manzi akaamua kwenda kwa Bi Mkubwa eti anisaidie kuomba msamaa kwangu ili nirudiane naye, Bi mkubwa akawa naye anamkatia kamba Kwa maneno makali.

Manzi akakoma mazima kuendelea kututfuta. Ni miaka 3 imepita sasa. Sijawahi sikia lolote kuhusu yeye na mimi niko na mishe zangu.

WANAWAKE NI WANYAMA SANA AISEE, NILISUMBUKA KWA NAMNA SIKUWAHI KUONA AISEE.
Hao ndio kina Delila. Wanakugeuka saa yoyote na dakika yoyote alimradiapate uelekeo. Vitabu vya dini vimekuelekeza uishi nao kwa akili, vinginevyo wakikuzidi umekwisha.Unatakiwa kuishi nao kijeshi
 
Dah pole sana. Ila sio wote. Huyo dada alikua na jamaa lake la pembeni
Manzi fulani nilipata kuwa

Alikuwa wa kawaida, sio pisi kivile au OVYO kilive, mshikaji nikajiona ni wakatu wa kutafuta pahala pa kuweka mbegu zangu, nikawa naye kwa kitambo kwenye hiyo relationship.

Hata Bi mkubwa akapata kumfahamu (sikuwahi tambulisha mtu yeyote wa aina ile hapo before). Nilifanya hivyo kubuild trust kwa Manzi.

Katika kujiongeza thamani nikawa nafanya kila kitu kile nitarajiwacho kufanya kwa Manzi, Miezi ikasonga, ikafika muda akasema yuko na mtoto kwa tumbo. Mzee mzima nikawa excited sana kujua sasa nakuwa Dady. Hata nika mtell Bi mkubwa, naye akanipa Hongera yake.

Siku zikaende, akaja kutaga mtoto. Nikamuita Owden.

Baada ya wiki chache nikaenda kumpeleke Owden kwa Bibi yake akapatepo vibaraka, tulienda sote na *****.
Maisha yakawa yanaendelea, Sikuwa na kipato cha kutisha sana ila baada ya Manzi kutaga mtoto nikawa nina mCash USD 100 Kila week. Hiyo ni kwa ajili ya matumizi yake na Owden.

MWAKA 1 na NUSU Baadaye. Ninakuja kugundua owden sio Mwanangu wa Damu. Dah IKANI PAIN KINOMA.

Hata kwa job nikawa nakosa mshawasha wa kupiga kazi. Kimwili ni kionge fulani hivi, ila baada ya kujua ukweli kuhusu Owden nikawa kama mgonjwa wa HVI. Nikawa nakula gambe sana, nashinda sana viwanja kujua itanipunguzia PAIN. Ila hakuna kilicho badilika.

Sometime naingia kwa Job nikiwa tungi mzee baba. Dah hadi nikapoteza kazi. Nikawa nashinda home tu. Mshakaji wangu akija nitembelea home anakuta chupa za gambe mithili kulikuwa na Party ghetto kwangu.

Ilinichukua muda kama miezi 2 hivi ndio kuja KumTell Bi Mkubwa kuwa Owden hakuwa wangu. Bi mkubwa kasema Nisijali mzee baba, kwamba mimi sio wa Kwanza kupitia hiyo Changamoto. Na kwamba ni vyema nimetambua hilo hivi sasa.

Kumbuka hapo nilikuwa tayari nimeachana na Manzi mazima kabisa yaani. Ilinichukua muda kuwa normal. Mshkaji wangu alikuwa nanipa kampani ya kunitoa Oot na Kwenye MaClub ili nisahau Yote yaliyotokea. It Worked.

Baadaye nikapata Job pahala pengine. Life ikaendelea. Baaday kama miezi 7 Maisha yalikuwa yamempiga sana Manzi. Akawa ananitafuta kwenye simu, whatsapp, FB, nk. Ila mzee baba nikamkkatia kamba mazima. Manzi akaamua kwenda kwa Bi Mkubwa eti anisaidie kuomba msamaa kwangu ili nirudiane naye, Bi mkubwa akawa naye anamkatia kamba Kwa maneno makali.

Manzi akakoma mazima kuendelea kututfuta. Ni miaka 3 imepita sasa. Sijawahi sikia lolote kuhusu yeye na mimi niko na mishe zangu.

WANAWAKE NI WANYAMA SANA AISEE, NILISUMBUKA KWA NAMNA SIKUWAHI KUONA AISEE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa karibu na mtoto na unaijua historia ya ukoo wenu damu isiyo yako utaijua tu. Haitafika miaka miwili bila kujua kila kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kisa kama cha msela wangu mmoja. Ila yeye pale manzi alipompeleka mtoto kwa wazazi wa jamaa mzee wake na jamaa alitia shaka akamchana kuwa huyu mtoto sio wako.

Bi mkubwa akakomalia kuwa kidi kafanana sana na mshkaji hivyo ni mwanae. Jamaa akatunza mpaka karibu kidi anafika mwaka ndio manzi kuja kumchana kuwa kidi sio wake ila hali ya maisha ndio ilifanya amlengeshee maana jamaa alikuwa anajiweza na mtia mimba alikuwa hana jax yoyote.

Baada ya kufahamika ukweli mdingi akamchana jamaa kuwa 'sinilikuambia'.

Life goes on lakini.

Noma sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom