Wanawake sio watu wazuri

Wanawake sio watu wazuri

nilichokuja Jifunza ni kuwa Wanaume wengi hapa Mjini hulea na kuishi na Watoto wasio tokana na Viuno Vyao.

Tujijengee Taratibu ya Kupima ili kuondoa shaka.
Kama sikosei, ripoti ya mkemia mkuu mwaka 2018 ilisema kati ya wanaume waliopima asilimia 78 waligundua watoto siyo wao.

#KuchapiwaHakuepukiki
#KuchapiwaNiSiriYaNdani
#KitandaHakizaiHaramu
 
Kama sikosei, ripoti ya mkemia mkuu mwaka 2018 ilisema kati ya wanaume waliopima asilimia 78 waligundua watoto siyo wao.

#KuchapiwaHakuepukiki
#KuchapiwaNiSiriYaNdani
#KitandaHakizaiHaramu
ni kheri kuujua ukweli, kuliko kuwa na sintofahamu.
 
Kisa kama cha msela wangu mmoja. Ila yeye pale manzi alipompeleka mtoto kwa wazazi wa jamaa mzee wake na jamaa alitia shaka akamchana kuwa huyu mtoto sio wako.

Bi mkubwa akakomalia kuwa kidi kafanana sana na mshkaji hivyo ni mwanae. Jamaa akatunza mpaka karibu kidi anafika mwaka ndio manzi kuja kumchana kuwa kidi sio wake ila hali ya maisha ndio ilifanya amlengeshee maana jamaa alikuwa anajiweza na mtia mimba alikuwa hana jax yoyote.

Baada ya kufahamika ukweli mdingi akamchana jamaa kuwa 'sinilikuambia'.

Life goes on lakini.
 
Kisa kama cha msela wangu mmoja. Ila yeye pale manzi alipompeleka mtoto kwa wazazi wa jamaa mzee wake na jamaa alitia shaka akamchana kuwa huyu mtoto sio wako.

Bi mkubwa akakomalia kuwa kidi kafanana sana na mshkaji hivyo ni mwanae. Jamaa akatunza mpaka karibu kidi anafika mwaka ndio manzi kuja kumchana kuwa kidi sio wake ila hali ya maisha ndio ilifanya amlengeshee maana jamaa alikuwa anajiweza na mtia mimba alikuwa hana jax yoyote.

Baada ya kufahamika ukweli mdingi akamchana jamaa kuwa 'sinilikuambia'.

Life goes on lakini.

Da aisee.

naona kama jambo la namna hii likimtokea mwanaume linamtia MKOSI kwenye safari ya mahusiano ya mwanaume husika.
 
Wanawake wengi wa Sasa huwa kwenye mapenzi siyo waaminifu, manzi anaweza akawa na wanaume wa3 kwa wakat mmoja kias kwamba akipigwa mimba na mmoja, anachokifanya ni kutafuta wa kumbebesha mzigo tena huwa anambebesha yule mwenye kaz, pesa ambae anauelekeo mzur wa maisha, au yule atakae Kubali kirahisi,

Sent using Gun Trigger
 
Wanawake wengi wa Sasa huwa kwenye mapenzi siyo waaminifu, manzi anaweza akawa na wanaume wa3 kwa wakat mmoja kias kwamba akipigwa mimba na mmoja, anachokifanya ni kutafuta wa kumbebesha mzigo tena huwa anambebesha yule mwenye kaz, pesa ambae anauelekeo mzur wa maisha, au yule atakae Kubali kirahisi,

Sent using Gun Trigger

ni kweli kabisa ukisemacho.
 
et mm sio hifadhi ya Umma

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inauma kulea mtoto unaejua ni wako kumbe sie!,Bora uwe unajua kabisa nawe ukakubali mbona hiyo sio issue... Sasa unaweza kuta kwenye watoto watano wako wa halali ni mmoja tu! Sasa hao wanne si Ni shirika la umma hilo😅
 
Manzi fulani nilipata kuwa naye last Year mwanzani.

Alikuwa wa kawaida, sio pisi kivile au OVYO kilive, mshikaji nikajiona ni wakatu wa kutafuta pahala pa kuweka mbegu zangu, nikawa naye kwa kitambo kwenye hiyo relationship.

Hata Bi mkubwa akapata kumfahamu (sikuwahi tambulisha mtu yeyote wa aina ile hapo before). Nilifanya hivyo kubuild trust kwa Manzi.

Katika kujiongeza thamani nikawa nafanya kila kitu kile nitarajiwacho kufanya kwa Manzi, Miezi ikasonga, ikafika muda akasema yuko na mtoto kwa tumbo. Mzee mzima nikawa excited sana kujua sasa nakuwa Dady. Hata nika mtell Bi mkubwa, naye akanipa Hongera yake.

Siku zikaende, akaja kutaga mtoto. Nikamuita Owden.

Baada ya wiki chache nikaenda kumpeleke Owden kwa Bibi yake akapatepo vibaraka, tulienda sote na *****.
Maisha yakawa yanaendelea, Sikuwa na kipato cha kutisha sana ila baada ya Manzi kutaga mtoto nikawa nina mCash USD 100 Kila week. Hiyo ni kwa ajili ya matumizi yake na Owden.

MWAKA 1 na NUSU Baadaye. Ninakuja kugundua owden sio Mwanangu wa Damu. Dah IKANI PAIN KINOMA.

Hata kwa job nikawa nakosa mshawasha wa kupiga kazi. Kimwili ni kionge fulani hivi, ila baada ya kujua ukweli kuhusu Owden nikawa kama mgonjwa wa HVI. Nikawa nakula gambe sana, nashinda sana viwanja kujua itanipunguzia PAIN. Ila hakuna kilicho badilika.

Sometime naingia kwa Job nikiwa tungi mzee baba. Dah hadi nikapoteza kazi. Nikawa nashinda home tu. Mshakaji wangu akija nitembelea home anakuta chupa za gambe mithili kulikuwa na Party ghetto kwangu.

Ilinichukua muda kama miezi 2 hivi ndio kuja KumTell Bi Mkubwa kuwa Owden hakuwa wangu. Bi mkubwa kasema Nisijali mzee baba, kwamba mimi sio wa Kwanza kupitia hiyo Changamoto. Na kwamba ni vyema nimetambua hilo hivi sasa.

Kumbuka hapo nilikuwa tayari nimeachana na Manzi mazima kabisa yaani. Ilinichukua muda kuwa normal. Mshkaji wangu alikuwa nanipa kampani ya kunitoa Oot na Kwenye MaClub ili nisahau Yote yaliyotokea. It Worked.

Baadaye nikapata Job pahala pengine. Life ikaendelea. Baaday kama miezi 7 Maisha yalikuwa yamempiga sana Manzi. Akawa ananitafuta kwenye simu, whatsapp, FB, nk. Ila mzee baba nikamkkatia kamba mazima. Manzi akaamua kwenda kwa Bi Mkubwa eti anisaidie kuomba msamaa kwangu ili nirudiane naye, Bi mkubwa akawa naye anamkatia kamba Kwa maneno makali.

Manzi akakoma mazima kuendelea kututfuta. Ni miaka 3 imepita sasa. Sijawahi sikia lolote kuhusu yeye na mimi niko na mishe zangu.

WANAWAKE NI WANYAMA SANA AISEE, NILISUMBUKA KWA NAMNA SIKUWAHI KUONA AISEE.
Pole sn kamanda hii stor yko ndio imatrend kwangu kwa sasa nimegoma kutuma pesa za matumiz mpaka nipime DNA kuna girl kajifungua juzi anadai mtoto ni wangu kinachonitatiza ni maneno yke
1.alidai mimba imetungwa nje ya mfuko wa uzaz
2.aliwah tuma sms eti anamwambia rafik yke aje kwake weekend amuone shem wake nilishtuka sn na ile sms nilipomuuliza akasema eti anatanianaga na rafik yke
3.Mara ya mwisho kusex nae nikihesabu miez adi anajifungua haijafika tisa na miez kadhaa alikuwa mkoan kwa mantik nyingine ckulala nae miez km 3 nyuma
4.kajifungua nimemwambia anitumie pic ya mtoto kasema hana smart nilipomwambia aazime kasema hana wa kumuazima

NAOMBEN USHAUR pia naomba kujua gharama za kupima DNA
 
Hata sishangai, she was right.
Furushi.
 
Back
Top Bottom