Wanawake sio waoga aisee......

Wanawake sio waoga aisee......

Watu tunatembea na visu ukizingua tunakata k.dani
dunia yenyewe hii usipojifunza judo basi kaa nyumbani kama mie
 
Habarini wana jamii forum wenzangu,
Hope ni wazima wa afya...

Jana mida fulani ya jioni nilikuwa mimi na rafiki yangu kwenye gari aina ya Noah tunatoka zetu town tunarud mitaa ya home ambako ni mbali na town.

Tukapaki gari mitaa fulani sio mbali na town tukasema ngoja tupate soda mbili tatu, sasa hapo sehemu tulipokuwa tunakunywa soda kwa pembeni kulikuwa na dada mmoja maji ya kunde mkali kinoma anachezea simu yake sijui alikuwa anachati au vipi, basi jamaa yangu akamuita dada vipi unaweza kujumuika na sisi tubadilishane maana??

Lakini jamaa yangu akiwa na imani kabisa huyo dada atakaa.Cha ajabu yule dada hakukataa akajumuika tukamkaribisha soda achukue, au kama anakunywa bia aagize, akakataa akasema ameshakunywa kipindi sisi hatujaja, basi sote zikaendelea mpaka mida ya saa moja na nusu dada wa watu akatuzoea vibaya na kutuamini kwa muda mfupi tukawa marafiki,

Akasema yeye anafanya kazi zake ndogondogo za kuuza nguo za kike, tukamwambia na sisi tuna duka la mzee la bolts na nuts tunamsaidia ila tumepanga miataa ya Uchira kama kilometa 12 kutoka moshi mjini.

Sasa baadaye jamaa yangu akamshawishi yule dada kama hatojali anaweza akaondoka na sisi twende maeneo tunakoishi akapajue kama hatajali halafu tutamsindikiza,

KWANINI YULE DADA ASIKUBALI,TUKAONDOKA NAYE TUMETEMBEA KAMA KILOMUTA 9 HIVI, JAMAA YANGU AKASIMAMISHA GARI AKAMUULIZA HIVI WEWE DADA MBONA UNAJIAMINI SANA YAANI SISI WATU WENYEWE HUTUFAHAMU VIZURI NA USIKU HUU UNAKUBALI KUJA TUNAPAOISHI UNAJUAJE KAMA SISI NI MAJAMBAZI AU WABAKAJI???

Akacheka mwenyewe akasema nyie mtakuwa watu wazuri tu mnaonekana,jamaa akamwambia ashuke kwenye gari akampa 5000 ya nauli akamwabia nenda nyumbani wewe sio mtu mzuri hata huogopi watu.........

Mara nyingi nimekuwa nikiwaona hata wakinadada wakiambiwa panda lifti twende hawawazi wanapanda haaaaaaoooooooooooooooo ........
Kwanini wanawake hamuogopi vya watu???????

SWALI!!! Kwanini mlimpotezea dada wa watu muda wake?
 
Hamna jema saa nyingine ingetokea amekataa mngesema wanawake mnaringa amekubali imeshakuwa shida unakuja kumlalamikia humu kwa sababu siku zote huko kusogea ndio mwanzo wa kujuana lakini.

Mbaya kama angejileta mwenyewe kumbe ulimuita. Makosa anayo ila nyie ndio mna makosa zaidi.
Tuna watreat wanawake km something not human being tunawafanya tutakavyo sometimes unamtongoza Dem sio kwamba umempenda ila ulikua unatest tu unashangaa huyo kajaa. Nyie wanawake nyie
 
Tanzania hatuogopani ila tunaheshimiana...

Kitendo cha kumuita huyo mwanamke alishajua mnachotaka nini, na hamna madhara yotote... si kama hivyo nauli mmempa na hamjamfanya lolote...


cc: mahondaw
 
Habarini wana jamii forum wenzangu,
Hope ni wazima wa afya...

Jana mida fulani ya jioni nilikuwa mimi na rafiki yangu kwenye gari aina ya Noah tunatoka zetu town tunarud mitaa ya home ambako ni mbali na town.

Tukapaki gari mitaa fulani sio mbali na town tukasema ngoja tupate soda mbili tatu, sasa hapo sehemu tulipokuwa tunakunywa soda kwa pembeni kulikuwa na dada mmoja maji ya kunde mkali kinoma anachezea simu yake sijui alikuwa anachati au vipi, basi jamaa yangu akamuita dada vipi unaweza kujumuika na sisi tubadilishane maana??

Lakini jamaa yangu akiwa na imani kabisa huyo dada atakaa.Cha ajabu yule dada hakukataa akajumuika tukamkaribisha soda achukue, au kama anakunywa bia aagize, akakataa akasema ameshakunywa kipindi sisi hatujaja, basi sote zikaendelea mpaka mida ya saa moja na nusu dada wa watu akatuzoea vibaya na kutuamini kwa muda mfupi tukawa marafiki,

Akasema yeye anafanya kazi zake ndogondogo za kuuza nguo za kike, tukamwambia na sisi tuna duka la mzee la bolts na nuts tunamsaidia ila tumepanga miataa ya Uchira kama kilometa 12 kutoka moshi mjini.

Sasa baadaye jamaa yangu akamshawishi yule dada kama hatojali anaweza akaondoka na sisi twende maeneo tunakoishi akapajue kama hatajali halafu tutamsindikiza,

KWANINI YULE DADA ASIKUBALI,TUKAONDOKA NAYE TUMETEMBEA KAMA KILOMUTA 9 HIVI, JAMAA YANGU AKASIMAMISHA GARI AKAMUULIZA HIVI WEWE DADA MBONA UNAJIAMINI SANA YAANI SISI WATU WENYEWE HUTUFAHAMU VIZURI NA USIKU HUU UNAKUBALI KUJA TUNAPAOISHI UNAJUAJE KAMA SISI NI MAJAMBAZI AU WABAKAJI???

Akacheka mwenyewe akasema nyie mtakuwa watu wazuri tu mnaonekana,jamaa akamwambia ashuke kwenye gari akampa 5000 ya nauli akamwabia nenda nyumbani wewe sio mtu mzuri hata huogopi watu.........

Mara nyingi nimekuwa nikiwaona hata wakinadada wakiambiwa panda lifti twende hawawazi wanapanda haaaaaaoooooooooooooooo ........
Kwanini wanawake hamuogopi vya watu???????
Wanahuruma sana Dada Zetu yaan daaaaah
 
Wanawake wenyewe wa moshi.hao uchelewi kusikia ntakuchamba kisuuu.kibooo.
 
Ulaya hakuna lift za barabarani, unaweza kwenda kuchinjwa huko na muuaji asijulikane. Bongo ni kawaida mdada umependeza asubuhi unavizia lift u sevu nauli.
 
Ana maana Kama mngekuwa watu wabaya basi na yeye alikuwa jinni maimuna, hamkuwa na nia mbaya, Ngekewa nayo msingefika salama, mngebanduliwa naye......akili za wanawake anazijua bibi Yao HAWA/EVA
 
Tuna watreat wanawake km something not human being tunawafanya tutakavyo sometimes unamtongoza Dem sio kwamba umempenda ila ulikua unatest tu unashangaa huyo kajaa. Nyie wanawake nyie
Hahaaa. Sasa kwa nini mtest mkuu wakati mmeshajua tuna mapungufu yetu ambayo hatuchelewe kujaa.

Mngekuwa mnauchuna basi.
 
Mmh. Ushaenda mbali tayari bonny. Lol.

We nipitie mi ndio nitakupakia kwenye Noah yangu.
Alah Kumbe una Noah swahiba kwan hela za Makinikia Tushalipwa Mama..
Nogopa Kutekwa aisee acha tufanye Matembez ya Hiar tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom