Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Bible hairuhusu mwanaume kuchepuka ila ni nature ya mwanaume yoyote yule japo katika uchepukaji tunatofautiana wengine kwa kificho na wengine kwa kujiachia na hi isikufanye wewe ukate tamaa ya kuolewa
 
Bible hairuhusu mwanaume kuchepuka ila ni nature ya mwanaume yoyote yule japo katika uchepukaji tunatofautiana wengine kwa kificho na wengine kwa kujiachia na hi isikufanye wewe ukate tamaa ya kuolewa
Mimi sipendi mtu aniquote akiwa amekurupuka,ni bora upite kimya kimya....wapi nimesema nimekata tamaa?hebu soma vizuri comments zangu....labda nirudie tena,nimesema bado nipo nipo ikifika wakati nipo tayari ntaolewa kama nilipangiwa kuolewa kupo tu,lakini msitupangie mda wa kuolewa kama mleta mada anavyosema hapa
 
Miaka 21 sijui hata kama chuo kamaliza..siozi mwanafunzi(degree kushuka chini)..Hapo maamuzi ni yangu..Ila baada ya hapo naweza kumwacha ajimwayemwaye..Sitamlazimisha mtu kuolewa..Ila nikiona giza linaingia bado yupoyupo tu naweza kuhoji..Uenda anahitaji msaada
 
Umejibu vizuri sana,sasa iweje mnashupaa na watoto wa wenzenu au mmesahau na nyie wenu wanakua soon?
 
We ukijiskia una huruma sana na waona mtu haoi au kuolewa basi mpe huyo mumeo au mkeo awe mwenza wake halafu we kamtafute mwingine
 
Napenda kuolewa yes but uwepo wa wanaume wachache si sababu ya Mimi kumkubali mtu kisa tu kani offer ndoa au nimkubali sababu naona umri unaenda au nikimkataa ntakosa wengine ati najitia nuksi oooh hapana kwakweli kama ipo ipo tu kama kuolewa ntaolewa wakati wangu ukifika siwezi kujilazimisha mwisho wa siku niangukie pua vikao vya usuluhishi viniandame kila siku.
BTW si kila mwanaume anayekutangazia ndoa ndio mwenye upendo wa dhati kwako.
 
Huyo mwandishi wako na wewe mwenyewe ninwaongo, hiyo siyo USA, halafu sio kila kitabu ni cha kusoma.
 
Umejibu vizuri sana,sasa iweje mnashupaa na watoto wa wenzenu au mmesahau na nyie wenu wanakua soon?
Hatuwashupalii..Sema tunawakumbusha mjitathimini upya..Vigezo ulivyoviweka sasa baada ya miaka kadhaa utavisimamia hivyo hivyo?..Utakuta mtu analeta nyodo kwa wanaume ukimuuliza sababu jibu atakalokupa utabaki unashangaa..Halafu keshokutwa mtu anaanza kujihisi ana mkosi kisa haolewi..Anasahau nafasi alizozichezea huko nyuma
 
Hapo pagumu aisee hata mimi si afiki.

Lakini tatizo inaweza kuwa humpendi.lkn.mbona badae mda ukishaenda ndio unarudi tena ooh ule.ulikuwa utoto!! Nadhani mleta thread ame raise hii concern pia
 
Mara utasikia wanalalamika humu, "mke wangu anajamba sana nimeshindwa!! "
 





Tungepata wanaume 50 wenye mawazo kama yako!!!

Hakika Dunia yetu ingekua mahali salama sana.
 
Miaka 22 kushuka chini akaolewe,
Huyo ni mtoto jamani,
Mtoto aenjoy utoto wake, kisa cha kwenda kumpa majukumu mazito ya ndoa!

Ndio mana wakijafika miaka 30 au 35 wanacharuka, maana kuna kipindi cha kuenjoy ujana wao walikivuka,

Asikwambie mtu, ndoa za utotoni zinaumiza,
Zinadumaza akili ya binti,
Kiufupi hazipendezi.

Kuolewa/kuoa ni wajibu wa kila binaadamu, ila hakuna muda muafaka wa lini mtu anapaswa kua kwny ndoa,
UKIJIONA NOW YOUR READY, unajitumbukiza,

Hahahaha hv mshawahi kuwaza?
Uingie kwenye ndoa ukiwa na miaka 20,
Maisha ya kuishi hapa duniani tuseme miaka 70,
So miaka 50 yote upo na mtu tu, oooh please!! Si mtafanana jamani.
Teh teh teh teh,

Ooh another thing, wewe mwanaume huwez kuoa mzee (mwanamke wa miaka 30 au 40)
Wadogo zenu wa kiume wa miaka 20 watakuja kuwaoa,

SO CALM DOWN GUYS.
 
Shape wanazo,sura,kuvaa wanajua ila hawafai kuweka ndani! mtaingia mikenge bure watawasumbua haoooo washazeeeka!
 
Sema labda kama umepanic ila sijamaanisha wewe.. ila hiyo wewe imetumika kwa vile unawakilisha kundi la wanawake na huu ni mjadala tu mwisho wa siku kila mtu ana maamuzi yake
 
Sema labda kama umepanic ila sijamaanisha wewe.. ila hiyo wewe imetumika kwa vile unawakilisha kundi la wanawake na huu ni mjadala tu mwisho wa siku kila mtu ana maamuzi yake
teh,usijikanyage,ungeweza kueleza toka mwanzo ungetumia hata mfano wa Dada yako,mimi nikipanic huwa sichangii mada napita mbaliii...
 
Mnatukumbusha tujitathmini nyiee kama kina nanii katika maisha yetu,teh mbona mmeshupaa hivyo..wewe una mambo mengi ya kujikumbusha mwenyewe, sumbuka na yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…