Wanawake ni watu wa ajabu sana

Wanawake ni watu wa ajabu sana

We jamaa pumba kabisa. Sasa hapo unataka ushsuri gani?
Mapenzi ya utotoni shida kweli ndio maana tunashsuriws kila siku mapenzi tusubiri ukubwani.

Kwanza umeanza vibaya eti anakupenda kweli sasa ona ulivyo boya( samahani nina hasira). Anakupenda huku anagongwa hadi wewe mwenyewe umejua?
Kitu kingine usipende kusikiliza story za x wa mke/ mpenzi wako za nini, zunahusu nini na mapenzi mapya? Au ndio kusema bado anampenda au ndio anakulingishia wewe mpenzi mpya? Mimi sitakagi kusijia huo ujinga

nifanyaje plz
 
hawa ni kuwaacha tu.maana ni nouma.wangu wa miaka mitatu alisema tuachane coz Mungu hajapanga tuwe p1 eti na eti nina character tofauti na yeye.3 years!..Ndo anaona hivyo vyote.ila issue ni kwamba alimpata mwingine akaona sifai.Huwa wanaongozwa na hisia hawa viumbe.wewe mteme tu.
 
hawa ni kuwaacha tu.maana ni nouma.wangu wa miaka mitatu alisema tuachane coz Mungu hajapanga tuwe p1 eti na eti nina character tofauti na yeye.3 years!..Ndo anaona hivyo vyote.ila issue ni kwamba alimpata mwingine akaona sifai.Huwa wanaongozwa na hisia hawa viumbe.wewe mteme tu.

Pole mkuu same thing happen to me
 
asante sana mkuu.Halafu baada alivyosema sifai anataka tuwe good friends.Hisia zinawaongoza yani.I declined.
 
wewe nae bwana sasa upo mikoa tofauti wategemea nini...mboya mnatafuta stress za bure nyie.
wewe achana nae bwana....vya utamu vimezaliwa vingi.

lakini nampenda mkuu
 
Usimuache anakupenda sana huyo bwana SHEKUNA,mmamayo we!
 
Sasa hapo unataka ushauri gani ndugu? Leo tarehe 1 usisahau kwenda kupima!!
 
hawa ni kuwaacha tu.maana ni nouma.wangu wa miaka mitatu alisema tuachane coz Mungu hajapanga tuwe p1 eti na eti nina character tofauti na yeye.3 years!..Ndo anaona hivyo vyote.ila issue ni kwamba alimpata mwingine akaona sifai.Huwa wanaongozwa na hisia hawa viumbe.wewe mteme tu.

sawa nitamtema
 
Mkuu haupendwi... Achana nae.... Ngoja kwanza... Ex wake wanaishi mkoa mmoja?
 
Hisia hazina ushauri,waweza shauriwa kwa mengi lakini hisia za Upendo zikitawala ni sawa na bure
Labda lakujua unampenda sanaaa ama ni Upendo wa kawaida.Ndo ushauri ufate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom