Wanawake ni watu wa ajabu sana

Wanawake ni watu wa ajabu sana

Sijui wanaume mmekuja Kuwaje Miaka hii.. Inabidi tuendelee na utaratibu wa jando.
 
ha ha ha ha haaaa.... Kweli mwanamke ni kiumbe wa ajabu.
kweli kiumbe cha ajabu kukuweka tumboni miezi 9 kwa kutumia njia hiyo hiyo ndogo kakutoa tumboni na bichwa lako kubwa hilo....hakika ni kiumbe cha ajabu
 
Kunaa baadhi ya wanawake ni zero brain,yaan mambo yao kama wamerogwa na wafuu.
 
kuna mapenzi ya mbali? kuna kipimo cha kumjua mtu anakupenda kwa kiasi gani? sidhani lakini
 
Ww kula tu huo mzigo ila no malengo hapo. Pia fanya juu chini umjue demu wa huyo jamaa then fanya mambo kula mzigo.
 
Pamoja na uajabu wa wanawake ila bado unawahitaji, kudadeki
 
mkuu yani hawa viumbe inabd kuish nao kwa akili sana yan

Mi nahangaika hapa kumsahau alinikataa acha tu nimekunywa pombe wapi anakuja tu kichwani nikishika kitabu huyu hapa. Nimekoma kupenda vizuri
 
Mi nahangaika hapa kumsahau alinikataa acha tu nimekunywa pombe wapi anakuja tu kichwani nikishika kitabu huyu hapa. Nimekoma kupenda vizuri

eeh bora ukome kupenda wanawake anza kupenda sijui wanyama na midori
 
Backtoroots: Babu zenu walikua hawana discussion na hawa viumbe; eti unakubali kuongea na x wake sawa na kukubali kuwa mme wa pili.
 
Ingekuwa ni file ninge kushauri ubinye ctrl + shif + delete
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom