Wanawake ni watu wa ajabu sana

Wanawake ni watu wa ajabu sana

Hisia hazina ushauri,waweza shauriwa kwa mengi lakini hisia za Upendo zikitawala ni sawa na bure
Labda lakujua unampenda sanaaa ama ni Upendo wa kawaida.Ndo ushauri ufate

napenda of coz
 
yeah,mkoa mmoja mkuu

Hapo huyo sio wako hata kama analia anakupenda.... Hugo dem ameshafanya ving na mshkaj kuanzia kumtoa bikra na kuweza kumshawish kutoa mimba.. So wana bond Kali hauwez kuwatenganisha... Inawezekana kila mmoja akawa na maisha yake lakin wakikutana ni ududu kwenda mbele...
 
Na mtanyanyaswa sana. Maana mwajifanya machizi hamtaki waelewa viumbe hawa.
 
wewe nae bwana sasa upo mikoa tofauti wategemea nini...mboya mnatafuta stress za bure nyie.
wewe achana nae bwana....vya utamu vimezaliwa vingi.
mzabzab upo?
Yeah, umempa ushauri mzuri.
 
Duu hadi kwenye hili unahitaji ushauri? Aisee..

Huyo hakupendi achana nae...
 
Wakuu hapa nilipo hata siamini kwa kilichonitokea.

Nina g.f wangu tuko mikoa tofauti na ananipenda sana kwa kweli.Juzi kati alianza kunitumia txt za ex wake kuwa anataka warudiane ila ye hataki coz ananipenda sana me.Akampa hadi namba yangu na me akanipa yake.Nikaongea naye na akanipa siri nyingi sana hadi kutoa mimba yake bila kumjulisha,pia alimtoa bk.Jamaa tulimalizana fresh na akakubali yaishe na mim ndio mmiliki.

Leo nimemtxt mpenzi wang mida ya jioni akawa harespond.Nikipga hapokei nikavunga.Baada ya masaa kadhaa akanipgia sikupokea zen akapga tena nikapokea nikatake easy.akaanza kutoa sabab simu alimpa mdogo ake aend nayo mjini ye alilala.Kwa akili yangu ya kawaida nikatengeneza mazingra ya akubali kuwa alikuwa na yule ex wake wanasex.

Nikambana sanaa na ikawa kweli kanisaliti.Akawa analia sana akajua labda jamaa kanambia kumbe wala na anaomba msamaha anasema hakuna mwanaume anayempenda kama me duniani.Nimemwambia anipotezee hanielewi.

Wakuu naombeni ushauri, je niendelee naye au nipge chini nianze kuhit and run?


meeeen @ she is After somethin On Yu.... upendo wake kwakoo cyo wa kivilee ila kuna kitu anakipata katoka kwakoo tu na hakipat kwingne@mfn kama ulikuwa una m care sanaaa kwa kunipigia cm mara kwa mara... kumdekeza ndo alichokupendea na khs kuku cheat na X wake ni kuonana na umbal uliopo kat yenu kwa hyoo nakushaur fanya kile moyo wakoo unataka...
 
Huyo mpenzio kakuona wewe ANDAZI ndo mana kafanya yote hayo halafu anajiliza na kujifanya anakupenda coz anajua lazima utamrudia tu
 
sasa mwingine wa nin tena wakati wanawake ni watu wa ajabu
 
achana naye huyo-utajikuta unalea mimba ya wenzako
 
Ukiona mwanamke anakupa habari za fulani ananitaka, sijui ananitongoza ujue huna mke/ gf. Mwanamke wa hivyo ana mambo anafanya sasa anakuwa anatafuta njia ya kufanya uamini kuwa hafanyi hayo mambo na hata ikitokea umehisi kitu fulani anakua wa kwanza kusema, si nilikwambia hivi na hivi... Halafu kitu kingine ambacho ni cha kijinga sana umefanya ni kuongea na huyo X wake. Kwanza ukiwa na mwanamke usitake hata kumjua x wake. Kwa ujumla hakuna mwanamke hapo, anampa namba yako x wake. Sijawahi kuona ujinga huo

Hii imekaa powa, Yaani anajiwekea kinga ili siku ukishitukia tu, anasema baby si nilishawahi kukwambia?
 
"Mkuu kama umemegewa nawe tafuta mnyonge ummegeee ila haipunguzi maumivu" nawe mtafute ex wako mfanye mambo
 
Wakuu hapa nilipo hata siamini kwa kilichonitokea.

Nina g.f wangu tuko mikoa tofauti na ananipenda sana kwa kweli.Juzi kati alianza kunitumia txt za ex wake kuwa anataka warudiane ila ye hataki coz ananipenda sana me.Akampa hadi namba yangu na me akanipa yake.Nikaongea naye na akanipa siri nyingi sana hadi kutoa mimba yake bila kumjulisha,pia alimtoa bk.Jamaa tulimalizana fresh na akakubali yaishe na mim ndio mmiliki.

Leo nimemtxt mpenzi wang mida ya jioni akawa harespond.Nikipga hapokei nikavunga.Baada ya masaa kadhaa akanipgia sikupokea zen akapga tena nikapokea nikatake easy.akaanza kutoa sabab simu alimpa mdogo ake aend nayo mjini ye alilala.Kwa akili yangu ya kawaida nikatengeneza mazingra ya akubali kuwa alikuwa na yule ex wake wanasex.

Nikambana sanaa na ikawa kweli kanisaliti.Akawa analia sana akajua labda jamaa kanambia kumbe wala na anaomba msamaha anasema hakuna mwanaume anayempenda kama me duniani.Nimemwambia anipotezee hanielewi.

Wakuu naombeni ushauri, je niendelee naye au nipge chini nianze kuhit and run?

And this makes the difference between a boy and a man.
 
mkuu hao walimsaliti adamu tena peponi itakuwa kwako wako wewe duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom