Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Nashindwa kuelewa mpaka sasa hizo Akili za hawa mbavu(maubavu) yetu ya kushoto"wanawake"huwa zinawaza nini.
Huyu mwanamke wangu, wiki moja kabla ya x-mass, kuna shida ilitokea kwao nikampa nauli akaenda kwao, amekaa siku tano akageuka tukaja lia x- mass hapa home.
Wiki hii ya mwaka mpya juzi ijumaa akaniambia tena kwa kushitukiza kwamba kesho yake jumamosi yaani jana anataka kwenda kwao (eti kuna sherehe ya ndugu yake inafanyika jioni yake) sikuambiwa kabla hiyo sherehe nimeshitukizwa tu,
Nimegombana nae sana lakini nikasema no sweat nikampa nauli na pesa ya kutumia Emergence aende.
Kweli asubuhi yake ya jana akaenda, sasa cha kushangaza Asubuhi hii kanipigia simu anaomba nimtumie nauli ya kurudi(pumbafu).
Sijawahi mjibu vibaya ila leo nimemtolea uvivu pumbafu zake, nimemuuliza kuhusu pesa ya matumizi niliyompa kasema katumia yote kutoa zawadi kwenye sherehe, na hana pesa ata kumi ya Akiba hivyo anaomba kurudi.
Sasa nilichomjibu ni kwamba situmi pesa abaki huko kwao na kama akitaka kurudi basi amwambie baba yake ampe nauli, mi sina pesa za kuchezea shenzi zake.
Anajua na nilimwambia nina mambo mengi ya kufanya mwezi huu ila yeye hawazi anachowaza ni kutumia tumia hela bila sababu.
Mwezi huu tu wa 12 nimetumia wazazi wake hela ya sikukuu,nimetumia wazazi wangu, nimemnunulia nguo zake plus kusuka, nguo za mtoto, nguo za mdogo wangu, nimehakikisha nyumbani X-mass anakula kama wakishua.
Bado nina mdogo wangu namsomesha ndio kwanza anaingia kidato cha kwanza, mama yangu dawa plus clinic ya moyo kila mwezi. Alafu bado yeye anataka kucheza na pesa zangu, kaniuzi kiwango cha SGR.
Natamani angekuwa karibu ningemngoa meno.
Cc Zero IQ.
Cc Zero IQ
Huyu mwanamke wangu, wiki moja kabla ya x-mass, kuna shida ilitokea kwao nikampa nauli akaenda kwao, amekaa siku tano akageuka tukaja lia x- mass hapa home.
Wiki hii ya mwaka mpya juzi ijumaa akaniambia tena kwa kushitukiza kwamba kesho yake jumamosi yaani jana anataka kwenda kwao (eti kuna sherehe ya ndugu yake inafanyika jioni yake) sikuambiwa kabla hiyo sherehe nimeshitukizwa tu,
Nimegombana nae sana lakini nikasema no sweat nikampa nauli na pesa ya kutumia Emergence aende.
Kweli asubuhi yake ya jana akaenda, sasa cha kushangaza Asubuhi hii kanipigia simu anaomba nimtumie nauli ya kurudi(pumbafu).
Sijawahi mjibu vibaya ila leo nimemtolea uvivu pumbafu zake, nimemuuliza kuhusu pesa ya matumizi niliyompa kasema katumia yote kutoa zawadi kwenye sherehe, na hana pesa ata kumi ya Akiba hivyo anaomba kurudi.
Sasa nilichomjibu ni kwamba situmi pesa abaki huko kwao na kama akitaka kurudi basi amwambie baba yake ampe nauli, mi sina pesa za kuchezea shenzi zake.
Anajua na nilimwambia nina mambo mengi ya kufanya mwezi huu ila yeye hawazi anachowaza ni kutumia tumia hela bila sababu.
Mwezi huu tu wa 12 nimetumia wazazi wake hela ya sikukuu,nimetumia wazazi wangu, nimemnunulia nguo zake plus kusuka, nguo za mtoto, nguo za mdogo wangu, nimehakikisha nyumbani X-mass anakula kama wakishua.
Bado nina mdogo wangu namsomesha ndio kwanza anaingia kidato cha kwanza, mama yangu dawa plus clinic ya moyo kila mwezi. Alafu bado yeye anataka kucheza na pesa zangu, kaniuzi kiwango cha SGR.
Natamani angekuwa karibu ningemngoa meno.
Cc Zero IQ.
Cc Zero IQ