Wanawake ni watu Special sana ila basi tu

Wanawake ni watu Special sana ila basi tu

Tatizo linaanza ,unaoa mwanamke aliyekwisha liwa na wanaume zaidi ya wawili ....

Maana kupata mwanamke bikra kwa Sasa Ni kazi kubwa Sana ....

Huyo mwanamke anakuwa na mawasiliano na wanaume zake aliokuwa nao mwanzo huku akisema ni marafiki tu kumbe anabinuliwa nao ,na analiwa Tena ,....hapo ndio mwanaume anaona Ni ujinga kutunza mtu ambaye ni msaliti kwenye ndoa
 
Ngoja wanaopenda 50 kwa 50 kila kitu tusikilize maoni yao
 
Msimu wa mvua na baridi huu wadada msidanganyikešŸ™ŠšŸ˜…šŸƒ
 
Mwanamke anastahili kupendwa na kupewa kila kitu kitakachomfanye awe na stylish looking bila kujali umri wake mi hata nikipita nikaona vitu vizur vya wanawake kwenye maduka au online market kama AliExpress nachanganyikiwa maana natamani kumuona kavaa lakin hiyo haina maana jukumu lake kama mama wa familia linabadili hapana mwanamke anaweza kulea famili yake na akatoa mchango mkubwa kwenye familia kuliko mwanaume lakini mwanaume anatakiwa kumtumia nguvu zake zote kumuonyesha anampenda tena
 
Hata kama mwanamke anabiashara au anafanya kazi hawajibiki kumhudumia familia pale nyumbani,hiyo ni hela yake yeye,wewe kama mume ndio Una majukumu ya kuhakikisha mipango ya pale nyumbani unaenda Sawa
Huu utapeli huishie hukohuko kwa waislamu.

Unafanya kazi alafu ushindwe kuchangia maendeleo ya familia yako hunifai.

Mimi siwezi kuendekeza wala kuabudu mambo yanayonikandamiza.
 
Wamebaki wachache mno wanaume wanaotimiza hayo,wanaume wanaoa ili wapelekewe maji bafuni,wapikiwe,wafuliwe,wafanyiwe usafi,wabebe mimba,wazae wanyonyeshe,na milawama ya mawifi na mama mkwe kuwa mvivu
Wanaume hao hawalish familia zao vizuri unakuta ana uwezo lakin mke anahangaika kama mbwa na hapo limwanaume lina wanawake watano
 
Back
Top Bottom