Wanawake ni watoto wenye umri mkubwa

Wanawake ni watoto wenye umri mkubwa

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,136
Reaction score
3,078
Habar za weekend wadau naomben leo tudiscuss hii topic bila matusi hii thread nilifungua lkn mod waliifuta sababu comment nying zilijaa matusi sasa basi leo naomben twende taratibu

Km kichwa cha habar apo juu kinavyojieleza wanawake ni watoto wenye umri mkubwa unajua hili wazo sikukurupuka kuandika nimeangalia mitazamo tofaut tofaut hata kwenye gazeti la mwananchi ilishawah kuchapishwa hii taarifa kuwa wanawake ni watoto wenye umri mkubwa

Ebu jaribu kuangalia wanavyopenda kula chipsi mayai chek vyakula wanavyopenda kula chek wanavyopakatana chek wanavyo piga soga kibarazan check walivyo wanashawishiwa kwa vitu km gar.pesa nk chek wanavyopenda kukumbatiana kuna mambo mengi sn ya kuangalia lkn ukitafsiri yote haya utaamin nachpsema

Wanawake ni watoto wenye umri mkubwa nasubir mawazo yenu wadau
 
Sijui nimuamini nani
IMG_20201212_164440.jpg
 
MKUU HAWA VIUMBE SIO TU NI WATOTO WENYE UMRI MKUBWA BAKI PIA NI VIUMBE WENYE AKIKI NDOGO ZAIDI DUNIANI
Jaribu tu kuwa na adabu, wanawake ni mama zenu, ni dada zenu ni shangazi zenu na far most ni wake zenu mnaolala nao kitandani

Heshima ndogo tu inatosha kuonyesha thamani ya mwanamke kwenye jamii

Asili na maumbile pekee ndio inayomtofautisha Mwanamke na mwanaume, lakini sote ni binaadamu chini ya jua

Kuna mabo ambayo mwanamle asipofanya inaleta tafrani na sintofahamu kwenye jamii na pia kuna mambo ambayo mwanaume akifanya vilevile inaleta sintofahamu kwenye jamii kwa sababu ya nature na maumbile

Lets say ukamkuta mwanaume amekaa barazani anapiga umbea huku amefunga kibwebwe utachukuliaje? Lakini ukimkuta mwanamke wa kizaramo amekaa barazani anapiga story kwenye mkeka sio jambo la kushangaza kwa sababu ni mwanamke na ni asili yake

Assume unamkuta mwanamke anabeba tofali anaweka zege halafu wanaume wamekaa barazani? Sio jambo la kawaida kwenye jamii ingawa wapo wanawake wanaofanya kazi ngumu kutokana na changamoto za maisha

Point yangu hapa ni kwamba wanawake wameumbwa kuwa tegemezi, wanaume ni kama walinzi wetu, ndio maana mwanamke akiolewa kila jambo lazima alifanye kwa makubaliano ya mume..maana yake yupo chini ya mume na ni juiumu lako kama mume kumtunza na juhakikisha anapata mahitaji yake ya msingi

Wanaume pia ni kama watoto in their own way, ndio maana tunawapikia, tunawafulia, tunahakikisha mko wasafi na smart nuda wote...ni kwa sababu ndio asili ya nwanamke na asili itatugawa kimajukunu, sio rahisi umkute mtu ameoa halafu yuko busy na kazi za ndani ...hapo atakua anaingilia majukumu ya mke

Tatizo wanaume wa leo mmeacha jukumu lenu la asili la kutunza wake zenu na familia zenu mpo busy hapa kuwajadili wanawake kwamba wanadanganyika na chipsi mayai...tafuta hela bro utunze mkeo na uhakikishe anakula.chipsi mayai kila anapotaka, hutamuona akidanganyika na chipsi mayai hata siku moja

Uwe na siku njema
 
Jaribu tu kuwa na adabu, wanawake ni mama zenu, ni dada zenu ni shangazi zenu na far most ni wake zenu mnaolala nao kitandani

Heshima ndogo tu inatosha kuonyesha thamani ya mwanamke kwenye jamii

Asili na maumbile pekee ndio inayomtofautisha Mwanamke na mwanaume, lakini sote ni binaadamu chini ya jua

Kuna mabo ambayo mwanamle asipofanya inaleta tafrani na sintofahamu kwenye jamii na pia kuna mambo ambayo mwanaume akifanya vilevile inaleta sintofahamu kwenye jamii kwa sababu ya nature na maumbile

Lets say ukamkuta mwanaume amekaa barazani anapiga umbea huku amefunga kibwebwe utachukuliaje? Lakini ukimkuta mwanamke wa kizaramo amekaa barazani anapiga story kwenye mkeka sio jambo la kushangaza kwa sababu ni mwanamke na ni asili yake

Assume unamkuta mwanamke anabeba tofali anaweka zege halafu wanaume wamekaa barazani? Sio jambo la kawaida kwenye jamii ingawa wapo wanawake wanaofanya kazi ngumu kutokana na changamoto za maisha

Point yangu hapa ni kwamba wanawake wameumbwa kuwa tegemezi, wanaume ni kama walinzi wetu, ndio maana mwanamke akiolewa kila jambo lazima alifanye kwa makubaliano ya mume..maana yake yupo chini ya mume na ni juiumu lako kama mume kumtunza na juhakikisha anapata mahitaji yake ya msingi

Wanaume pia ni kama watoto in their own way, ndio maana tunawapikia, tunawafulia, tunahakikisha mko wasafi na smart nuda wote...ni kwa sababu ndio asili ya nwanamke na asili itatugawa kimajukunu, sio rahisi umkute mtu ameoa halafu yuko busy na kazi za ndani ...hapo atakua anaingilia majukumu ya mke

Tatizo wanaume wa leo mmeacha jukumu lenu la asili la kutunza wake zenu na familia zenu mpo busy hapa kuwajadili wanawake kwamba wanadanganyika na chipsi mayai...tafuta hela bro utunze mkeo na uhakikishe anakula.chipsi mayai kila anapotaka, hutamuona akidanganyika na chipsi mayai hata siku moja

Uwe na siku njema
Hii thread ifungiwe hapa [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe jinsia zote ni watoto tulio changamka
 
Tuambie wewe mwenye akili umefanya nini hapa duniani kwa kutumia akili zako nyingi ambacho mwanamke yeyote hawezi kufanya.
KOMENTI KAMA HII INAZIDI KUDHIHIRISHA AKILI YA MWANAMKE
 
Mkuu na mimi ninao kutana nao ndo hao hao unaojarbu kuwaelezea.
 
Back
Top Bottom