VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Kina dada ni watu wenye huruma sana na huweza kusamehe hata kosa kubwa kiasi gani
. They are emotional and full of love
Mfano
Am sure wadau mna cases kama hizi nyingi tu . Ingawa kina kaka ni wabaya pia, ila ni bora ukutane na mkaka mbaya kuliko mdada mbaya ..
Women.... when good they are very Good lakini when they are Bad they are Worse
Lakini hawa kina dada kama hawakupendi au wamekuchukia pia wanaweza fanya vitendo vya kinyama usiamini . MfanoKuna cases kama tatu ambapo mwanamume anamtelekeza mke na watoto, mojawapo jamaa alitelekeza familia yake na kwenda kupiga maraha na wanawake wengine, bahati mbaya ugonjwa wa kupooza ukamsibu na kimada wake akamkimbia . lakini yule mke aliyetelekezwa hakusita kumsamehe bwana yake na ni yeye ambaye anampa huduma na kumlea yaani amesamehe yote na wala hakutaka kisasi
Kwahiyo hii imenifanya ni conclude wanawake they can be very good au very very bad . ni kuomba Mungu utakayekutana nae awe the former na sio the latterKuna cases ambazo unakuta bwana anamgharimikia mchumba wake na mwisho wa siku anapigwa kibuti na kupewa maneno ya kebehi . kuna jamaa alikuwa na mchumba wake basi akaona sababu yeye halikuwa hajasoma bora ampeleke mchumba wake shule ili waje wafanikishe maisha . Baada ya huyu msichana kumaliza chuo na kupata boyfriend mwingine eti akamkataa jamaa eti hawezi kukaa na mtu asiye na elimu .. yaani hata asante hakumpa ..
Am sure wadau mna cases kama hizi nyingi tu . Ingawa kina kaka ni wabaya pia, ila ni bora ukutane na mkaka mbaya kuliko mdada mbaya ..
Women.... when good they are very Good lakini when they are Bad they are Worse