I-NGOSHA
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 496
- 182
- Thread starter
- #41
Nasema wanawake, hao wasichana wanaanza kwanza kuhadaika na pesa mbuzi wakisha komaa ndo wanasogea kwenye hiyo hatua nyingine!!Ni asilimia ngapi hizo? Na je ni wasichana au ni wanawake? Nahsi ktk utafiti wako asilimia kubwa ni wasichana wenye umri wa miaka 18 hadi 22 na weng ni wanafunz wa vyuo ndo umewafanyia utafiti.
Unachotakiwa kujua ni kuwa wengine ni wanawake/wadada ambao hatuna fikra kama hizo tunajua maana ya ndoa ni nini, na tunafanya kazi na tuna uwezo wa kumiliki gari nzuri ya kutembelea na nyumba nzuri za kuishi