Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Teh,teh,teh,teh,Husna bana,ni kwamba;hayo uliyosema hapo ni moja ya madhara ya kimalezi ya watoto waliokulia kwenye familia iliyowafundisha kuwa utu wa mtu ni vitu,anapokua mkubwa akavikosa anakua hajiamini coz anajiona sio binadamu kamili,yaani hajakamilika mpaka awe na gari au mali.So uliyosema hapo ni maradhi ya kimalezi ambayo yamewathiri sana wanawake na wanaume pia,nikikuambia mimi sio mmoja wao utapata kazi sana kuiamini kauli yangu.Lakini jua tu kwamba mimi ni mwanaume ninaejiamini na ninajua thamani yangu iko ndani yangu haiitaji nyongeza ya chochote ili ikamilike,ilivyo tu imekamilika!Hayo mengine ni utashi na sio uhitaji,ninadili sana na uhitaji sio utashi!