Wanawake na vigezo wanapotafuta wanaume

Wanawake na vigezo wanapotafuta wanaume

Naona mwanaume wa dar anawachamba kina dada
Sema wewe rafiki. Mapungufu yapo na kila mtu anayo ila saa nyingine tunavumiliana tu.

Sasa kupovuka huku napata mashaka na muonekano wa baadhi ya watu humu ujue.
 
Kwa hili povu lazima utakuwa team kiba..ila ni bora umelitoa kabla hujalala manake mapovu huwa sumu sa zingine

Ila wamekusikia
Eti wamekusikia, mmmhhh unataka kutuaminisha kuwa hujaguswa na kitu ata kimoja??? Shukru jf kutunza watu msiojulikana lasivyo ungesutwa [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nahisi Huyo jamaa hana tofauti na ile Michele inayoimbaga taarabu maana Jamaa ameongea kama bibi hindu
Hahahaa. Huenda ikawa. Na pia hajajua siki zote kumuelimisha mtu hakutaki jazba yaani inatakiwa uongee kwa staha na kama kueleweka unaeleweka tu.
 
Dah hatari sana! nishawahi kuwa na manzi fulani hivi machizi wakawa wananitania eti tumebadilishana sura! hahaha nashukuru aseee wazazi wake walihamishwa kikazi maana nilikuwa namuonea huruma kumpiga kibuti cha mbavu!
Jaman we acha dhambi kwan wakat unamfatilia mwanzo ulikuwa umwon alivyo?? mpka ukataka kumpga kibut si vizur hvyo mkuu
 
Back
Top Bottom