Mbona hawatokei dawa imewaingia hii daaa aisee umewaza nini mkuu
kitumbo ndi daah alaf tufupi ni tugomvi, vimekata body tena ukute kanatokea kule kiliko dondokea kimondoPole sana mkuu naona umesahau ile methari inasema maskini akipata matako hulia mbwata wa kishua anaona kawaida wa uswazi anaona kapatabro ushawahi kuwa na madem wawili mmoja wa kishua mwngine wa kawaida af huyu wa kawaida akija kwako hafanyi lolote zaidi ya kulala na kucheki movie ila huyu wa kishua anakupikia na kukufulia?
hivi huyu wa kishua si ndo ilibidi awe na nyodo kuliko huyu mwenzangu na mimi? af kidume ukichukua maamuzi ya kumpiga chini anaanza kulialia.
yani huyu wa kishua anakua humble af wa kiswazi anajikuta high quality balaa. anaboa bro.
team kiba hawang'ang'aniwagi, ila umeskika mkuu asante kwa kushiriki.Kwa hili povu lazima utakuwa team kiba..ila ni bora umelitoa kabla hujalala manake mapovu huwa sumu sa zingine
Ila wamekusikia
wa uswazi akija kwako na kukufanyia kazi anajiona kawa beki tatu. na ukimwomba akusaidie anaona unamnyanyasa kweli, ila huyu wa kishua hadi deki anapiga na juice ya tropical mageton anakuja nayo.Pole sana mkuu naona umesahau ile methari inasema maskini akipata matako hulia mbwata wa kishua anaona kawaida wa uswazi anaona kapata
Mwingine ukimtindua dogy K inajambamwingine unakuta anatoa uchafu mweupe kwenye uuke, kanaumwaumwa kila siku. na ye pia anataka perfect guy. ni shida asee
Ha ha ha ha ha me tuna shida sanaHahaha wakianza kukujibu untag.
Halafu ukute ana kanguo ka mtoko kamoja tu ka mpira vile vya kubana kila weekend out anako
Halafu anakwambia anataka mwanaume mvaa mchomeko chewuuu![]()