Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 4,042
- 3,458
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Vidole vya mikononi kam mafungu ya tangawizi.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Vidole vya mikononi kam mafungu ya tangawizi.
Unasogeza kabati peke yako[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kakisimama ukutani utakapita ukidhani ni kreki, maana ni kembamba halafu kana irregular shape!
Na twingine tubonge kiasi kwamba ukicheza nako mziki utasema unasogeza kabati taratibu pekeako.
Hahahaaaa. Umeongea kweli Pacha yaani huyu angezidi kidogo kukaa na hili dukuduku angeweza ata kufwa aiseee.Kwa hili povu lazima utakuwa team kiba..ila ni bora umelitoa kabla hujalala manake mapovu huwa sumu sa zingine
Ila wamekusikia
[emoji87] [emoji85] [emoji31] [emoji15] [emoji15]Mwingine ukimtindua dogy K inajamba
wanajijua kama wao wabovu ndo mana wanang'ang'ania. tatizo linakuja pale unapopuuzia ile kasoro yake na kumchukulia kibinadam na kumfanya awe comfortable. basi anajisahau anaanza kujitutumua. wajinga sana hawa wadudu, ni kuwapiga chini tu hamna namna.
Mmh. Kakaaaa.Hahaha wakianza kukujibu untag.
Halafu ukute ana kanguo ka mtoko kamoja tu ka mpira vile vya kubana kila weekend out anako
Halafu anakwambia anataka mwanaume mvaa mchomeko chewuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
sijakataa vigezo lazma mtu awe navyo. swala hapa sio kwamba vigezo visiwepo ila ujiangalie na wewe vigezo unavyo? haiwezekan we unataka kua na mimi kwasababu nakidhi vigezo vyako ila wewe mwonekano wako kwangu usiwe unajalisha.Mmmh. Vigezo lazima viwepo bwanaaaa. Haijalishi tuna mionekano ya namna gani.
Pia usisahau hakuna aliyejiumba na ingekuwa tumejiumba wenyewe pasingetosha hapa kwa sababu sidhani kama kuna mtu angetaka kuwa na muonekano wa hovyo hovyo.
dah mkuu mi pia nshawahi kua nae wa namna hio. alikua anakuja mageton kila siku na tyt nyeusi inang'aaa yani habadilishi. na wigi flani la gold limevurugika hata kulichana halichani.Hahaha wakianza kukujibu untag.
Halafu ukute ana kanguo ka mtoko kamoja tu ka mpira vile vya kubana kila weekend out anako
Halafu anakwambia anataka mwanaume mvaa mchomeko chewuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
sijakataa vigezo lazma mtu awe navyo. swala hapa sio kwamba vigezo visiwepo ila ujiangalie na wewe vigezo unavyo? haiwezekan we unataka kua na mimi kwasababu nakidhi vigezo vyako ila wewe mwonekano wako kwangu usiwe unajalisha.
wewe ni kibonge kupindukia na mtindi umeshuka mpaka kitovuni ila unanambia mimi hiiii bebi fanya mazoezi bwana kitambi kimeanza kuota. yani wewe unataka nikuelewe na ubonge nyanya wako ila mimi kuota kakitambi kidunchu tu kwako nongwa.
wanawake bwana!!!!
we unadhani kila tunaedet nae tumeridhika na jinsi alivyo? tunatakaga tugonge tusepe.Ukishaona mtu ana vigezo vyake basi jua kwa upande wake pia yeye anavyo.
Hizo nyingine mbwembwe tu hazina mashiko. All in all vigezo lazima viwepo na kaa ujue mpaka anapatikana mwenye vigezo ninavyotaka basi jua na yeye ameridhika na jinsi nilivyo.
Upo Kaka Mapovu! Hahahaaaaaaa.
Ha ha ha ha ha ha, kila akistuka K inajambaMwingine ukimtindua dogy K inajamba
Kama shida yako ni kugonga na kusepa basi ni haki yako kukutana na ulivyokutana navyo. Pole sana aiseee.we unadhani kila tunaedet nae tumeridhika na jinsi alivyo? tunatakaga tugonge tusepe.