Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,655
Hapa chanzo ya hii mada ni tabia zenu baadhi ya wanawake, laiti huyu asingefanyiwa mbaya asingeleta hii mada.Ahahahaaaaaa
Naona mnakashfu uumbaji wa Mungu hana banah
Duh!Wanawake wanajikuta wana vigezo vya kufa mtu pindi wanapotafuta mwanaume utaskia nataka mwanaume awe na tumbo flat spendi vitambi, awe hensam, awe na kifua, awe na mwili kidogo umejaajaa, awe anajua mapenzi na awe anahudumia.
Ila chenyewe ukikicheki ni kifupi, kitufe balaa, tumbo ndi, ngozi ngumuuu, tako limedondoka, anavuja jasho akitembea barabarani, ana u.t.i, anavuja damu, vidole vya miguuni vimeachana achana kama vinacheza kidali, sio mzuri, ana fungus ukeni, ana pua ka pinda, usiku akilala anakoroma, asubuhi akiamka udenda umejaa kwenye shuka, hela hana.
Wanawake wa namna hii kuweni wapole, mnapotaka vizuri na sisi pia tunataka vizuri. haiwezekani vyote unavyotaka mi nnavyo ila wewe huna lolote halafu nku-keep. tafuta level zako.
Yote kheri Mwifwa ili mradi hatunyang'anyani uhai sioni kama kuna tatizo mwache mtu atoe la moyoni mwake ila akumbuke akiba ya maneno mikosi huwa tunaitengeneza wenyewe kwa kutumia vinywa vyetu na aliwazalo mtu ndilo litakalo mtokea.Hapa chanzo ya hii mada ni tabia zenu baadhi ya wanawake, laiti huyu asingefanyiwa mbaya asingeleta hii mada.
Ili kuepusha mambo kama haya ninyi wanawake aache tabia kama hii na mtambue kuwa Mungu anaumba tofauti tofauti.
Tafsiri ya mapenzi ya dhati bado inatupiga chenga sana.Yote kheri Mwifwa ili mradi hatunyang'anyani uhai sioni kama kuna tatizo mwache mtu atoe la moyoni mwake ila akumbuke akiba ya maneno mikosi huwa tunaitengeneza wenyewe kwa kutumia vinywa vyetu na aliwazalo mtu ndilo litakalo mtokea.
Alooo wamekusikia bila shakaWanawake wanajikuta wana vigezo vya kufa mtu pindi wanapotafuta mwanaume utaskia nataka mwanaume awe na tumbo flat spendi vitambi, awe hensam, awe na kifua, awe na mwili kidogo umejaajaa, awe anajua mapenzi na awe anahudumia.
Ila chenyewe ukikicheki ni kifupi, kitufe balaa, tumbo ndi, ngozi ngumuuu, tako limedondoka, anavuja jasho akitembea barabarani, ana u.t.i, anavuja damu, vidole vya miguuni vimeachana achana kama vinacheza kidali, sio mzuri, ana fungus ukeni, ana pua ka pinda, usiku akilala anakoroma, asubuhi akiamka udenda umejaa kwenye shuka, hela hana.
Wanawake wa namna hii kuweni wapole, mnapotaka vizuri na sisi pia tunataka vizuri. haiwezekani vyote unavyotaka mi nnavyo ila wewe huna lolote halafu nku-keep. tafuta level zako.
KabisaTafsiri ya mapenzi ya dhati bado inatupiga chenga sana.
Maana mengine haya tunayoyalalamikia ni baadhi tu ya vitu lakini haviwezi kutoa maana ya Mapenzi ya dhati.
Ukimpenda mtu kwa dhati sidhani kama uumbwaji wake unaweza kukwamisha hilo
Karibu kijweni.ha ha haaaaaaaa,jf jamaniii
Hapo anajiisahau anaanza kivimbawanajijua kama wao wabovu ndo mana wanang'ang'ania. tatizo linakuja pale unapopuuzia ile kasoro yake na kumchukulia kibinadam na kumfanya awe comfortable. basi anajisahau anaanza kujitutumua. wajinga sana hawa wadudu, ni kuwapiga chini tu hamna namna.
MwambieeeeeHapo anavuja damu umeharibu hata hoja imekosa mashiko. Kumbuka wanawake wote wanapita ktk hali hiyo mama yako mzazi, Dada zako, shangazi zako, na wanao utakaowapata. Waheshimu wanawake haitokupunguzia kitu ktk maisha yako. Mitandao ya kijamii isikutoe ufahamu.
Mie Sina tabia iyo![]()
![]()
naogopa usijenitangaza hapa JF