Kwahyo Susy Mimi na hii rangi yangu hii nyeusi kama pua ya mbwa hunipi nafasi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona mimi nawapenda sana wanaume weupe
Hata papai bichi 😍😍😍We tafuta pesa , hata uwe mweupe kama papai lililoiva utapendwa tu😂
hahahahaUsiwasikilize
Hawapendi mwanaume asiye na pesa tu
Uwe mweupe...mweusi...mfupi...mrefu....sura ngumu au handsome sio shida zao.....
okNdio nani huyo[emoji23] mimi napenda mwanaume mweusi
Nitakua PM kwako Mkuu.Me nawapenda mwayaaa.... Mkuje inbobo
Ooops. Hii comment inafunga threadNa mwanamme kwanini uwe mweupe[emoji23][emoji23]
Mkuu Nitumie Namba yako PM nikutumie hela soda. Nyuzi za siku hizi zinawabagaza sana hawa vijana wetu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona mimi nawapenda sana wanaume weupe
Hadi figo,maini meupe😂Hivi wanaume weupe ata dydy nayo Ni nyeupe?😂😂😂
#maendeleo hayana chama🤣
Mkuu nije pm?Me nawapenda mwayaaa.... Mkuje inbobo
weupe wanalamba sana lips[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natumaini mko salama
Huu msemo unazidi kushika kasi sana mitaani, nimekuwa nikisikia wadada wengi nyakati tofauti tofauti wakidai hawapendi mwanaume mweupe.
Kwa maana nyingine wanatuaminisha sisi weusi ndo tupo kwenye chat.
Cha ajabu hao hao wanawake ukipiga nao picha wataweka kila aina ya filter uonekane mweupe.
Hii imekaaje?
Njoooo karibu sana.... Me napenda wageni kweli kweliiiiiMkuu nije pm?