Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,223
Ndio mnavyosemaNdio nani huyo[emoji23] mimi nawapenda mwanaume mweusi
Halafu mnataka watoto weupe
Ndio mnavyosemaNdio nani huyo[emoji23] mimi nawapenda mwanaume mweusi
Akili ya kikundi fulani cha wanawake msijumlishe wote, tupo tofautiNdio mnavyosema
Halafu mnataka watoto weupe
ukweli wa mtu kupenda hata mtu mwenyewe huwa haujui maana kupenda ni hisia na vigezoAchana na maneno y wanawake
Sahihi, sura sijui rangi haitolipa billsMchawi pesa TU....
Kabisa yani!Sahihi, sura sijui rangi haitolipa bills
Mheshimiwa mama samia sikia kilio chetu sisi wakaka weupe tunaoshinda gymNdio nani huyo[emoji23] mimi napenda mwanaume mweusi
[emoji1787]Mheshimiwa mama samia sikia kilio chetu sisi wakaka weupe tunaoshinda gym
Mkuu wa mafinancialWe tafuta pesa , hata uwe mweupe kama papai lililoiva utapendwa tu😂
We tafuta tu gari na hela ya chips mayai, toshaa!Natumaini mko salama
Huu msemo unazidi kushika kasi sana mitaani, nimekuwa nikisikia wadada wengi nyakati tofauti tofauti wakidai hawapendi mwanaume mweupe.
Kwa maana nyingine wanatuaminisha sisi weusi ndo tupo kwenye chat.
Cha ajabu hao hao wanawake ukipiga nao picha wataweka kila aina ya filter uonekane mweupe.
Hii imekaaje?
Kuwa tu na hela hayo mengine ni porojoMheshimiwa mama samia sikia kilio chetu sisi wakaka weupe tunaoshinda gym
Khaa!!! [emoji23][emoji23]Labda wanahisi akiCOME mwili utavilia[emoji1787].
Kwamba mwarabu mweusi [emoji3][emoji3][emoji3]Na mwanamme kwanini uwe mweupe[emoji23][emoji23]
Khaa!!! [emoji23][emoji23]
HahaaNa mwanamme kwanini uwe mweupe[emoji23][emoji23]
Uko sahihiKuwa tu na hela hayo mengine ni porojo