Wanawake na msemo wa "Sipendi mwanaume mweupe"

Wanawake na msemo wa "Sipendi mwanaume mweupe"

Natumaini mko salama

Huu msemo unazidi kushika kasi sana mitaani, nimekuwa nikisikia wadada wengi nyakati tofauti tofauti wakidai hawapendi mwanaume mweupe.

Kwa maana nyingine wanatuaminisha sisi weusi ndo tupo kwenye chat.

Cha ajabu hao hao wanawake ukipiga nao picha wataweka kila aina ya filter uonekane mweupe.

Hii imekaaje?
sasa mkuu sijui umewaza nn
 
Hivi huko kwenye harusi wanapaka yale marangi ili iweje yani mana wanatafuta huo weupe kwa hali na mali
 
Natumaini mko salama

Huu msemo unazidi kushika kasi sana mitaani, nimekuwa nikisikia wadada wengi nyakati tofauti tofauti wakidai hawapendi mwanaume mweupe.

Kwa maana nyingine wanatuaminisha sisi weusi ndo tupo kwenye chat.

Cha ajabu hao hao wanawake ukipiga nao picha wataweka kila aina ya filter uonekane mweupe.

Hii imekaaje?
ishi nao kwa akili mkuu. usipoteze muda wako kuwafuatilia
 
Zamani sio sasa jamani hiyo ya kupenda watoto wazuri sijui nini ilikuwa zamani, miaka hii wanawake wengi wanataka kuzaa na wanaume wenye hela sura atapambana nayo mtoto[emoji1787][emoji1787]kama wadau wanavyosema mchawi ni hela uwe mweupe kama chokaa au uwe mweusi kama mkaa ukiwa na hela utapendwa hata ile fake love
Kisaikologia wewe utakuwa umezaa watoto wabaya.
 
Kuwa makini sana..anataka kukupiga mzinga wa maisha.

Sema nini hawaeleweki wanataka nini mana pia wanapenda kuzaa vitoto vyeupe vizuri..sasa unadhani watazaa na wewe cheusi mangala.

#MaendeleoHayanaChama
🤣🤣🤣 Wee boya
 
Kuna mmoja nlimsikia anasema "wanaume weupe hawana lolote zaidi ya kung'aa kitandan tu"....

Nlichoka hadi maini
 
siku ukimuelewa mwanamke ndo mwisho wako! mwanamke ananyoa kichwa kizima upara af anavaa wigi unadhani vitu vidogo hivo vya filter ndo nini?[emoji23]
 
Back
Top Bottom