Wanawake na magari


well said
 
hawajui ujanja unashuka kwenye gari tana kama umependeza wewe unafungua boneti unajifanya unaangalia angalia watakuja wanaume tu..... kama ni pancha unachukua jeki unajifanya kuanza kurekebisha aah bwana wakaka wa mjini wanajisogeza pole pole mtoto wa kike huku unatabasamu ..... wanawake wengi hatujui hata kukagua gari ni basi.... kazi ya wanaume hiii sisi ni kuendesha tu
 
Hahahaa ntakupeleka VETA my dear upigwe msasa...Sitaki hao vijana wasije wakakuchepua lol!
 

Ni kweli wanawake wengi hawana utaratibu hata wa kuangalia maji asubuhi, upepo, oil etc sababu ya kudekezwa au kutofahamu tu.

Mimi mke wangu nilishamfundisha hizo mambo maana ana experience ya kutosha kwa majanga.

Asubuhi atafungua bonet(kama nikiwa nimeondoka tayari) ataangalia maji na oil(ingawa si kila siku) pia anajua kilometa za next service so anaangalia mara kwa mara kwenye dashboard kama zimefika.

Juzi juzi alitaka kutoka akakuta pancha. Wala hakunipigia alichofanya alitoa spea tire na jeki na kila kitu akaset namna ya kubadili tairi ndio akaomba msaada wa kuzungusha jeki huku akishiriki kufungua nati.

Nashauri tuwashirikishe wake zetu sio tu kwenye magari hata kwenye vitu vingine vidogo vidogo ambavyo havihitaji nguvu sana.

Kiukweli wanapenda kudekezwa ila wakiona majanga yake wanakuwa makini.
 
Sion ajabu kw mwanamke kushindwa kurekebisha gari...ni wangapi makwao wanamagari na hawawezi hata kufungua milango?so mambo haya ni kuwa na ujuzi na kujifunza tu sio kulaumiana na kushangaana.
 
Kasinde utakua kitandani mtamu sana ikiwa kama tyre tu unabadirsha wewe mwenyewe!!
kwa kukujibu tu ni mindset wangu wanawake wengi si unajua ni legelege so vitu vya mechanics kwao inakua ngumu kumeza
 
Last edited by a moderator:

Jamaa linakusaidia bila malipo, na ili kujifanya mstaarabu zaidi ht hakuombi number, huku moyoni anaumia balaa kwa kukutamani....
 
Mkuu bora umeongea wewe maana hawa vijana wa kisasa wana dharau sana
hivi kwa nini mnapenda kuwadharau na kuwadhalilisha mama zenu. Thank god mama angu anafanya zaidi ya hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…