Wanawake na magari

Umenikumbusha wakati nasoma driving school somo la riverse ilikuwa mtihani ila now days naweza rudi nyuma kwa kuendesha barabara yote ile ya samora niko fit God knows.
Unastahili pongezi mama, wewe ni wachache kati ya wengi akina Cynthia Chriss...
 
Last edited by a moderator:
umeongea muzuri sana, kula 5
 
Kabisa. Kama bado upo upo nianze process mapemaaaaaaaaaaa! I have 'almost' everything needed.

process ipi sasa? sijakuelewa best!!
 
Nimeshaamka sweetheart!!! kam thisi wei!!!! Oohh yeah!!!! watu8 sasa waweza endelea tu na shughuli za ujenzi wa taifa.

where were u jamani?? umenirusha roho ujue.............!!! looh

Kumbe ulimtuma watu8 ani seduce.............!!!!!!!!:angry:
 
Last edited by a moderator:
mimi unanipa hongera ya kukupongeza au...?


ujue kuna wanaotafuta kupongezwa kwa kupongeza hawapati we unashangaa...............!! haya siku njema
 
I am here dear... watu8 ni ndugu yangu so nlimruhusu kuja kukusalimu tu baasi.. kwani alisema mengine?
where were u jamani?? umenirusha roho ujue.............!!! looh

Kumbe ulimtuma watu8 ani seduce.............!!!!!!!!:angry:
 
Last edited by a moderator:

Mkuu uko sahihi ila wanawake wengi hawajishughulishi kufahamu vitu vidogo vidogo kuhusiana na magari.

Nafahamu wengi tu hata kucheki kiwango cha engine oil, au maji hawajui!

Wengine hawaelewi kila taa ya tahadhari kwenye dashboard inahusiana na nini. Anaweza akawa anaendesha bila wasi wasi wakati taa inaonyesha joto la engine liko juu!

Wanahitaji kubadili attitudes na kijifunza mambo ya msingi kuhusiana na magari!
 
umeongea muzuri sana, kula 5

Wanawake wengine wanachefua sana dada, utakuta yeye kila kitu anachechemea tu, mtoto kakojoa anavyonyanyua dekio utafikiri kashika mkia wa nyoka, kufuta anatumia mguu, kisa una pesa, unapesa za kumzidi oprah wewe?!! kujitegemea ni kujiamini, kujiamini ni pamoja na kuwa active, unapiga starter asubuhi haijibu unashindwa hata kufungua bonnet mpaka usubiri saa nzima mtu aje kukuchekia?!!! napenda sana wanawake active.
 
Hainihusu coz gari lenyewe sina

siyo lazima uwe nalo, siku ndugu yako yuko hoi anahtaji kupelekwa hospital na gari iko flat utashindwa kubadili tairi umpeleke hospital nduguyo kisa utachafua kucha?!!
 
siyo lazima uwe nalo, siku ndugu yako yuko hoi anahtaji kupelekwa hospital na gari iko flat utashindwa kubadili tairi umpeleke hospital nduguyo kisa utachafua kucha?!!

huwa najiulizaga sana swali hili na huwa linanipa bidii ya kujifunza mambo mengi in case of anything happen nakuwa naweza kujikwammua. Ikitokea anything haijatokea basi ujuzi unakuwa kichwani tuu tayari kushare na wengine.
 


pamoja sana!!
 
Braza braza!!!!!!! Tafadhali heshimu makubaliano yetu.

:shocked::shocked::shocked: :A S-eek::A S-eek: makubaliano yetu (kati ya watu8 na Tized) hata sikujua kama niliwekwa chini ya makubaliano ya ndugu wawili hawa........................
 
Last edited by a moderator:

nakubaliana na wewe 100/100
 
Nilimuomba tu braza watu8 akuoneshe tu ile gym mpya hakuna makubaliano mengine kipenzi.
:shocked::shocked::shocked: :A S-eek::A S-eek: makubaliano yetu (kati ya watu8 na Tized) hata sikujua kama niliwekwa chini ya makubaliano ya ndugu wawili hawa........................
 
Last edited by a moderator:
I am here dear... watu8 ni ndugu yangu so nlimruhusu kuja kukusalimu tu baasi.. kwani alisema mengine?

mmmmhhhhh makubwa haya!!!! najua nyie ni ndugu, yeye alikuja akaniambia kuwa umemtuma awe anakuja kuniangalia wakati wa usiku kuhakikisha usalama wangu kisha akaniambia niwe nalala nisifumbue macho hata kama nikisikia mtu anakuja kitandani basi nijue ni malaika wanahakikisha usalama upo hadi kitandani, sasa kwani ulimtuma huyu nduguyo??
Yaani na mengine mengi tuu............... ngoja nduguyo watu8 aje akusimulie mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…