Wanawake msituulize maswali haya

Wanawake msituulize maswali haya

Mimi Napenda kuulizwa Uko wapi Baba watoto? Huwa najibu tu Bar.
 
Swali la kimtego hili.....
Na kuna uwezekano baadae simu yako ikakaguliwa kimya kimya ili kuhakiki kama ni kweli uliyemtaja ndiye ulokuwa ukiongea nae.




Yaani shida ya hili swali ni kuwa usipojibu vizuri unajishtaki
so hata linakuboa inabidi utoe jibu la kueleweka...usionekane unaficha kitu..
 
Hahahaha raha sana......... usalama wako kama simu yako inahifadhi call logs........

Na ole wako msg uzifute pia wakati imeonyesha kuwa ulitumiwa msg kadhaa....


ole wako ukutwe umefuta dial calls zote....
kesi mpya inaanza ha haa
 
usiende taifa leo kila siku mpira tuuu ,huwa ananikera wife hapo tuu
Kwani wenger ndio kocha wa chelsea? Na huyu drogba yeye anadakia timu gani?
baby kwani man u ni timu ya wapi?
 
Back
Top Bottom