hamna namna tutajibu ili kuepusha mengiAaah mbele ya dalila samsoni hachomoi
Nilikuwa naongea na customerulikua unaongea na nani?
hamna namna tutajibu ili kuepusha mengi
hahahaha kujibu lazimaHayo ya kuepusha utajua weye ilmradi Usha jibu ha ha ha
Wizara yao moja hehehe atotoMuda mwingine cm yako haikuwa hewani! Kwanini.... "sasa unaponiuliza mambo ya mtandao mi ntajuaje.." wanaume kwa hasira wanamaliziaga kwa kusema 'wanawake ni kama watoto ndo maana hata wizara yao ni moja' kutwa nzima kuuliza maswali ya ajabuajabuuuu..
Utarudi sangapi?
ulikua unaongea na nani?
Wanaume hebu tiririkeni maswali ambayo hampendi kuulizwa na wake au wapenzi wenu ili wayajue. Mie swali linalonichosha ni kama nikiulizwa ""una ratiba gani leo"?
Hujanisaliti??
Hehehe swali la uchokozi
Upo wapi?