falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #101
Nipo kwenye foleniUmefika wapi?
Nipo kwenye foleniUmefika wapi?
Uko wapi.....
hili swali silitaki kabisa.......ningekuwa ahera si ungepata taarifa........
huko uliko kuna umeme?
mbona hapo ulipo hakuna kelele, upo wapi?
Jamani ya dunia mengi, mnapoulizwa mko wapi mtu anataka kujua usalama wako kila siku mnaona watu wanauliwa mara ajali, ni vizuri mwenzio ajue uko upande gani wa mji.
Umevaaje?
HeheheheUmekula? Silipendi swali hili jamani aaagghhh... Sasa bila kula si ningeshakufa?
"Mbona naskia sauti kama ina mwangwi (echo) au uko lodge!??
Daaaah hilo swali linanikera sanaa asee
yeye atakuwa mzoefu na lodge,muache mara moja"Mbona naskia sauti kama ina mwangwi (echo) au uko lodge!??
Daaaah hilo swali linanikera sanaa asee
yeye atakuwa mzoefu na lodge,muache mara moja
Nilishampiga chini asee,.. nlistuka mapema maana si<script id="gpt-impl-0.0440034419298172" src="http://partner.googleadservices.com/gpt/pubads_impl_73.js"></script>jawahi mpeleka lodge alikua anakuja kwangu,.