Wanawake msituulize maswali haya

Wanawake msituulize maswali haya

Hili hata mimi mkuu, unaweza ukawa unaongea na simu za michongo ya hela, anakuuliza unaongea na nani? Pum***vu!!!
 
Baby Eti Papuchi Yangu ni Tamu?

Sasa najiulizaga, hivi kunapapuchi chungu?

Nami namjibu mbona ni chachu kama ndimu
 
Nna kanuni moja. ...swali la kipuuzi huwa nalijibu kipuuzi
 
Wanawake kama wanajua waache kuuliza maswali. Baba yangu alituambia toka amuoe mama yetu hata arudu nyumbani saa ngapi mama hamuulizi ulikuwa wapi wala ninj mpk baba akaanza kujistukia akajua hapendwi au mama yuko na mwingine kumbe mama aliambiwa na mama ake ukitaka umuweze mwanaume ignore him na mambo yake. Mpk leo wtt tumezeeka baba anasimulia.jinsi hata akirudi asubuhi mama hamsemeshi chochote. Mama alikuwa anasema kama akifa si nitaletewa maiti ni mtu mzima sina haja ya kunfuatilia kama mtt mdogo anajua anachofanya.
 
Mpenzi umeenjoy?apo baada ya kugegedana,sas unaulizaje swali km hili na wakati ulikuwa unaniona kabisa nlivokuwa napagawa wakati nagota nyama.
 
Back
Top Bottom