shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
jidanganye tu na movie zenu za tamthilia
love ni overrated, smart people wanaelewa hilo..
kama unaamini katika love feelings fatilia maisha ya kina newton, trump, muswati, magufuli, k lyn, na wengineo wengi..
ndio maana nikasema love ina sababu.. na sabab kubwa ni benefits tu.. sio feelings za kijinga kwa mtu makini...
vipi mbona umetoka povu kwenye jiwe gizani.. na wewe ni used mwenzangu nini..
kama ni used mwenzangu.. pigana sana uwe na benefits .. hapo utapendeka..
ila kama ni papuchi used karib kila mwanamke anayo.. sizan kama mtu makini anaweza zuzuka nayo akupende hasa... kama ipo haijatumika hapo una haki ya kumsumbua mtu smart yeyote
love ni overrated, smart people wanaelewa hilo..
kama unaamini katika love feelings fatilia maisha ya kina newton, trump, muswati, magufuli, k lyn, na wengineo wengi..
ndio maana nikasema love ina sababu.. na sabab kubwa ni benefits tu.. sio feelings za kijinga kwa mtu makini...
vipi mbona umetoka povu kwenye jiwe gizani.. na wewe ni used mwenzangu nini..
kama ni used mwenzangu.. pigana sana uwe na benefits .. hapo utapendeka..
ila kama ni papuchi used karib kila mwanamke anayo.. sizan kama mtu makini anaweza zuzuka nayo akupende hasa... kama ipo haijatumika hapo una haki ya kumsumbua mtu smart yeyote
Hahahaha FYI love hainaga sababu sijui cha ziada sijui cha nini, anaweza tokea bikra huyo usifeel chochote na akaja mapepeee huyo hana cha ziada chochote wala lolote na ukaingia mzimaa mzima, With love yani hata usiseme never t can happen