habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Taratibu bwana80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
Taratibu bwana80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
kwani bikra inaongeza nini ama inapunguza nini kwenye maisha???? au inakupa zigo la dhahabu???
Sasa mke si angemwambia mmewe kwamba nataka pipi mti mpaka nimwagilizie maua ya shuka kitandani jamani?Labda jamaa yuko busy hadi anasahau kumkojoza mkewe
Amekubuhu kwenye tasnia ya matusi.HOE upo vizuri , zamani ukikuwa mpole sasa inaonyesha umekuwa mkubwa sasa
Muhanga mwingine huyu wa kupigwa chini na mademu, sasa amejaa chuki tupu, acha hizo mbona Wanawake watu wazuri tu tafuta saizi yako!
Kama we ni KE nahisi utanifaa maana nnagundiMuhanga mwingine huyu wa kupigwa chini na mademu, sasa amejaa chuki tupu, acha hizo mbona Wanawake watu wazuri tu tafuta saizi yako!
Ama kweli hata wewe wasema hivo?Kuwa na pesa na kuwa na muda na mkeo (sex) ya kueleweka sio unarundika ela tu wakati ujui kafata nn kwako
NM ukiwa na ela upigi shoo ya maana kapuku atakusaidia na pesa yako atapewa kama asante kwa kunikojoza
Na ukiwa unakojoza huna ela wenye ela watakusaidia (kwa mwanamke asiye kua na hofu ya mungu)
Nlitaka nikupe like kama elfu moja ila hapa wansruhusu ku like mara moja tu.80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
Dah ndugu kumbuka una Dada na mama/wadogo kwa wakubwa. Kauli yako tata kidogo ila pole kama umeshawahi kuumizwa kumbuka huku duniani hamna malaika wamejaa mashetani so tusamehane na kuombeana rehema na Neema Kwa Mungu. Tuvumiliane tu maana ndo viumbe tunao watoa matumboni mwetu80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
haijalishi inanipa nini.. ila ni heshima kwake kama ameweza kustahimili hisia zake hadi ndoa.. basi ana deserve kumsumbua
ila mtu aliovua kufuli kila sehemu ni changudoa tu asiye na soko maalum... so hawezi umiza kichwa mwanaume yeyote mjanja kichwa zaidi ya mjinga mjinga..
ndio maana siku hizi used wanaoolewa au kusumbua wanaume vichwa ni wenye benefits tu. labda awe mambo safi kwao au awe kichwa sana.. unajua watoto watapata goodmind... but mtu used sio genious darasan wala sio mambo safi kimaisha.. utamsumbua nani akili
mimi mwenyewe used.. why used mwenzangu nimpe everything wakati hana chochote outstanding..
kama papuchi kila mwanamke duniani anayo.. so atanisumbua kichwa kwa kipi cha ziada??
ooooh .. "kumbe wote used kumbe wote machangudoa tofauti jinsia huyu changudoa wa kike huyu mwingine changudoa wa kiume na wote hawana soko".
Bora na Bora mwenziye, Kibovu na Kibovu chenzie
Moe attention na usimpe gari ataliwa na bodabodaKwani huyo mdada aliolewa na hayo magari anayobadilisha kila siku?, kitu ambacho mwanamke anakihitaji zaidi kwa bwana yake ni *ATTENTION* hakuna kingine
Hujajua kwa nini tunatoa mahari katika ndoa, so na nyinyi mukitoa mahari hatutojali mukichepukaKumbuka mapnz so pesa, may b huyo mwanaume chumban n zgo na mwanamke dam bado inachemka, af mi nashindwa kuwaelewa nyie wanaume hv we una uhakika gan kama huyo mme wake na safar zote zile alikua hachepuki?? Kwnn iktokea mke kachepuka mnatoa lawama nyiing bt kwenu nyie mnacngzia tamaa why??
Aiseeee mm niko tofauti mwanaume akishakuwa na life lake la maana, pili anajari, tatu mawasiliano ya karibu( reasonable communucation na msafiiiiii. walai siwez msalti hata kama ana kibamia nitavumilia. Kwan tango sh ngap? Mia tatu tuu! Mm tofauti. Oh mara dushe refu mara nn kwangu havina maana akishatimiza hayo
Najaribu kufikiria ile sababu yetu pendwa bana - eti shetani alinipitia, teh!!Teh ngumu kumesa eeh. Samehe 7×70