Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanaume wengi huwa wanadhani akishaweza kumweka mwanamke ndani amemaliza kila kitu. Na mwanamke nae anapoenda kuolewa anapenda kukuta mambo kadhaa kwa mume.
1. Anategemea mume amjali. Katika kujali mwanamke anataka uwe karibu nae, upige nae stori kwa sababu adui mkubwa wa mwanamke ni upweke.
2. Anategemea uwe na pesa, kwa sababu hawapendi shida shida ktk maisha yao.
3. Anategemea mume ayaweze mapenzi kitandani, hawapendi kabisa mwananaume legelege au asie na mda na mapenzi na asie taka kukaa karibu yake. Ukiyaweza hayo utakuwa umeweza kuishinao kwa akili. Kwa bahati mbaya asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kukaa na wake zae na wala hawana mda nao.


Mkuu umesema vyema. Ila nakubaliana na wewe tu in the context kwamba hayo yote ni majukumu ya msingi kwetu wanaume na ninaamini kabisa kwamba mwanaume ambaye ni responsible anatakiwa ayatimize hayo ipasavyo. Hakuna option nyinginge.

Hata hivyo nakukumbusha tu kuwa mapenzi siku zote sio "one size fits all" mkuu. Mapenzi ni eneo complicated sana. Mwanaume anaweza atekeleze yote hayo uliyotaja na akaongeza na mengineyo lakini bado mpenzi/mke wake anaweza amsaliti vile vile.
 
Najaribu kufikiria ile sababu yetu pendwa bana - eti shetani alinipitia, teh!!
Teh mlikuwa na appointment ya kwenda wapi hadi akupitie? Au mwingine unamsikia "ooh niliteleza", sijui alikanyaga ganda la ndizi
 
Aiseeee mm niko tofauti mwanaume akishakuwa na life lake la maana, pili anajari, tatu mawasiliano ya karibu( reasonable communucation na msafiiiiii. walai siwez msalti hata kama ana kibamia nitavumilia. Kwan tango sh ngap? Mia tatu tuu! Mm tofauti. Oh mara dushe refu mara nn kwangu havina maana akishatimiza hayo
Aisee you are one in a million, hakika mungu akujalie ndoa tu kabla hata hujaililia...We ndio mwanamke ambae kila kidume anamuota na inaonesha pia upo real sana. Kama hakuridhishi mpe namna ya kumsaidia ili muwe safi badala ya kuchukua uamuzi wa kumsaliti kama wale wapuuzi wanaojisifia umalaya humu kisa wanaume wao wamepoteza umakini, hakika ukimuheshimu mume na kumtreat kama mtoto wako atakupenda mpk kufa.
Si unajua mtoto hasuswi na mama ila anarekebishwa kwa busara tu!
 
Fedha sio upendo.

Hayo mambo ya ndoa magumu.
Labda huyo mume mtarimbo wake haufanyi kazi
Mdada wa watu afanye nini tu? Au labda hampendi tena.

Anyway nisiingilie. Wanajua makosa Yao wenyewe.
You are so clever kusema "wanajua makosa yao wenyewe"
 
"Kumsomesha mwanamke ni laana kubwa sana"

Nadhani tumeelewana wanaume wenzangu...
 
Wanawake wasaliti ni wahuni tu, hamna sababu ya kusaliti kama mtu unampenda...Mi kuna utaratibu nataka kuujenga kuishi kama rafiki na manzi nadhani wanahitaji kujengewa kujiamini, semeni tu? Bhana baba Mariamu nahisi kama bado, dawa haijaniingia vizuri leo hebu kesho jitahidi zaidi basi ***** wangu nitafarijika sana. Hapo in a friendly way kidume ataelewa huna haja ya kumvizia mlinda geti akubokoe wakati shida inaelezeka. Kidume akielewa fasta anatafuta suluhisho sasa nyie hamsemi mnataka mtu aote unachofikiria au?

Tatizo wanawake wa siku hizi hawajui vitu vingi kizazi cha .com. Bibi zenu walijua hali ikiwa mbaya waka mix mti shamba gani jikoni specifically kwa mzee ili wapate
matokeo mazuri bila hata kusalitiana na wamedumu kuishi kwa amani miaka yote bila ushenzi wa kusalitiana ndoa zikadumu.
Wanawake jirekebisheni
 
Sikuhizi kuchepuka ni kawaida kama maudhirio ya chooni....wala msimlaumu huyo jamaa kwamba hapigi mzigo vizuri...nakuambia sikubhizi hata pige mzigo namna gani....hata umpe style zotee...hata upige bao 100...wakuchepuka atachepuka tu...
Na sio wanawake tu hata wanaume ndo hivyohivyo..
Sana sana chakumlaumu huyo mwanamke ni kuchepuka kipumbavu hadi kashikwa..
 
tatizo wanaume wengi mnaamini mkishampa mtu pesa inatosha, jamani we need care and love..
yaani mtu akujali na kukupenda,
mtu mnapata hata 30mnts za kuongea, kucheza au kufanya chochote pamoja,
kuna wanaume hamjui lini mara ya mwisho kumkiss wife,
haujui lini ulishamsifiaga kwa lolote,
deep down yule mwanamke a nafeel kama unamuignore,
hivyo akipita mahali akisifiwa tu analainika..
though all n all hakuna justification ya kuchepuka.
 
Ushasema jamaa anasafiri kila uchao,Muda na mkewe anaupata wapii??na wanaume wengine ni wazito sana kwny mawasiliano, msipoonana basi simu haipigwi wala msg huoni,huku nyuma mshika pembe anampetipeti mkeo every lunch tym na kumpigia simu usiku,sawa mwanamke nae ana matatizoo ila wanaume pia mna kasoro
muda mwingine ukiona we ni wa safari sana beba mkeo nenda nae kama hana kazi ya kumbana kiasi hiko
 
ha ha ha hela.mnataka na kukojozwa mnataka.pia.. na attention mnataka.pia... hao wanaume muwaumbe wenyewe..


kwa maoni yangu mimi mwanamke anae deserve everything ni aliyempa mume wake zawadi ya bikira tu..

kama tumekutana.wote used hata afanyeje anipasui kichwaa.. akisepa unaweka ndani mwingine...

watasumbua wanaume wasiojitambua tu..

kwanza sex and love is overrated
We sema tu ipo siku utapata mwanamke hio bikra hana na atakuendesha km hana akili nzuri na utajishangaaa mana hata kumuacha itakua mtihani kwako
 
haijalishi inanipa nini.. ila ni heshima kwake kama ameweza kustahimili hisia zake hadi ndoa.. basi ana deserve kumsumbua kichwa aliemuoa...

ila mtu aliovua kufuli kila sehemu ni changudoa tu asiye na soko maalum ( japo huwezi mwambia wazi girlfriend wako ila kama hana bikira wanaume karibu wote wanawazaga hivi kichwani mwao))... so hawezi umiza kichwa mwanaume yeyote mjanja kichwa zaidi ya mjinga mjinga..

ndio maana siku hizi used wanaoolewa au kusumbua wanaume vichwa ni wenye benefits tu. labda awe mambo safi kwao au awe kichwa sana.. unajua watoto watapata goodmind... but mtu used sio genious darasan wala sio mambo safi kimaisha.. utamsumbua nani akili

mimi mwenyewe used.. why used mwenzangu nimpe everything wakati hana chochote outstanding..

kwaza love and sex ni overrated.. hata wanyama wanafanya.. binadamu tu wasio na akili wameikuza vichwan mwao

hii ni kwa wanaume smart wote.. wameliweka hili kichwani.
kama papuchi kila mwanamke duniani anayo.. so atanisumbua kichwa kwa kipi cha ziada??
Hahahaha FYI love hainaga sababu sijui cha ziada sijui cha nini, anaweza tokea bikra huyo usifeel chochote na akaja mapepeee huyo hana cha ziada chochote wala lolote na ukaingia mzimaa mzima, With love yani hata usiseme never t can happen
 
Ushasema jamaa anasafiri kila uchao,Muda na mkewe anaupata wapii??na wanaume wengine ni wazito sana kwny mawasiliano, msipoonana basi simu haipigwi wala msg huoni,huku nyuma mshika pembe anampetipeti mkeo every lunch tym na kumpigia simu usiku,sawa mwanamke nae ana matatizoo ila wanaume pia mna kasoro
muda mwingine ukiona we ni wa safari sana beba mkeo nenda nae kama hana kazi ya kumbana kiasi hiko
Hivi ni lazima mimi nipige simu tu?? wewe huwezi kunipigia ili kudumisha mawasiliano? hayo mambo ya one way traffic mnayoyataka kwenye mahusiano kwa kweli yana bore sana,
 
Aisee you are one in a million, hakika mungu akujalie ndoa tu kabla hata hujaililia...We ndio mwanamke ambae kila kidume anamuota na inaonesha pia upo real sana. Kama hakuridhishi mpe namna ya kumsaidia ili muwe safi badala ya kuchukua uamuzi wa kumsaliti kama wale wapuuzi wanaojisifia umalaya humu kisa wanaume wao wamepoteza umakini, hakika ukimuheshimu mume na kumtreat kama mtoto wako atakupenda mpk kufa.
Si unajua mtoto hasuswi na mama ila anarekebishwa kwa busara tu!
Hongera kwa dada,lakini hamna watu wanafki km wanaume mwasema mnataka a good woman bla blah akitokea walaaa u can't handle it mnakimbilia vimapepee vikishacheat km bibie kwny mada thread zinakuja hapa,same applies to women oh I want a good man n shit akikutokea u know this man is good ila unamkwepa unataka player anaekuumiza kichwa
 
Hivi ni lazima mimi nipige simu tu?? wewe huwezi kunipigia ili kudumisha mawasiliano? hayo mambo ya one way traffic mnayoyataka kwenye mahusiano kwa kweli yana bore sana,
Simu inaweza pigwa pia lakini ikiwa one way traffic I.e akifanya mke tu anachokaa,everyone amake effort kwny hayo mawasiliano km kweli mnapendana
 
Back
Top Bottom