Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Usiombe uoe mwanamke ambaye umalaya uko kwenye damu hata ungekuwa na pesa kama Bill Gates na mtalimbo wa haja na nguvu za kupiga shoo Mara tatu Kwa siku kama dozi ya panadol atachepuka tu na ukimfumania atamtupia lawama shetani kama kawa.
Aiseeee
 
Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.

Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa ****** kama ***** lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.

Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.

Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.

Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.

Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.

Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.
Poleee kwa shemeji, unajua wanawake wengi hatupendi kitu kimoja tu kwenye mapenzi, yaani mi naona wanaume wanakosea sehemu moja tu:

1. Hawana muda wa kubembeleza wake zao

2. Mapenzi yao ni ya mazoea sana, hamuoni mkewe kama ni mtamu, mrembo n.k

3. Ubunifu 0 yaani, anaeza toka job/shughuli zake, akachelewa kurudj, haulizi umeshindaje, hawazi wala kujali hisia zako tena, anachojua ni tundu li wapi aingize na kutoa.

4. Hujali hisia zake zaidi, akimaliza kujojoa issue inalala, ndo basi tenaaaaa, akikuonea uruma ndio utasuguliwa ka Cd mbovu adi ujojoe.

Hapo ndio ikizidi unakuta mkeo yupo na house boy, mlinzi, na hata mzoa taka anaemsifia urembo wake kila siku, anaemwambia jinsi anavovutia n. k

Waume waangalie HII ISSUE AISEE
 
Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.

Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa ****** kama ***** lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.

Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.

Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.

Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.

Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.

Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.
Huna haja ya kukata tamaa, utampata wako atakayekuthamini kwa hivyo ulivyo. Hao maisha yao hayakuhusu, wanajua wenyewe wapi wanapokosoa kupelekea utovu wa uaminifu.
 
Siwatetei wanawake, ila kwenye ndo siku zote watu wanataka ukaribu, sasa kama kila siku jamaa anasafiri "kama anaenda bafuni" huyo mwanamke faraja ataipata wapi

Ukaribu ndio kila kitu kwa wanandoa, hata kama una magari dar nzima!
 
umeshindwa kuelewa, pesa na mali haviwezi mtuliza mtu bali upendo na mahaba....mali znachetua mwanzo tu ukivizoea unaona vya kawaida
 
Samahani hapo juu kwenye kuhusi mume kuhitaji wake wote kuna any evidence kutoka ktk vitabu vya dini ama ni tamaa zetu

Ushahidi upo kisayansi tu hapo ila kwa ushahidi wa maandiko....si mkubwa saana pia si wezi semea sana hayao ila rejea Mfalme Daudi, na mtoto wake Sulemani, Abraham, Muhamad SAW hao wote wate walikuwana na wake weengi... kwa kutimiza haja yao moja tu, kwa wanawake mmh labda Rahabu kule Yeriko! ila sina hakikaa!!

ushahidi mwingine ni kwa yanayotokea katika hizi zama zetu!
 
Mpe morning glory,si unaamka na kukurupukia kazini wakati mwenzio anataka
 
Wao wanachokita hawakijui........usihangaike kumridhisha mwanamke kamwe!
 
Wakati mwingine nasi wanaume tunajisahau mno ubusy uliopitiliza ni moja ya sababu ya hawa viumbe kuzingua. Sometimes tunafikiri pesa ndio kila kitu na kupuuza muda wa kuspend nao.
 
Shida kwamba sio kwamba mume wake amfanyii,shida iko kwake hajui kubehave kama mke wa mtu,hata kama angekuwa karibu na muwe kila siku lakin kama hajui kuweka mipaka na baadhi ya wanaume wengine atarudis tabia hyo.hizi social media zilizowasilisha mawasiliano unakuta mke wa mtu anatumiana picha na video za sex na wanaume wengine,matokeo yake maujinga ndio yanaanzia huko huko
 
Nimekuelewa zaidi kwenye vyuma visivyokuwa na viwango hao ufanya hivyo kwa kuvutia wanawake tu hila kikazi na kimaslai hawana kitu kabisa.
 
Ndio maana nikasema kipimo kikubwa cha a real woman ni alietunza hekalu la Mungu..

Mtu aliepuka vishawishi ni kipimo tosha cha a die type of a woman..

Mtu hekalu lake tu aliepewa na Mungu kashindwa litunza...... Anaanzia wapi kutunza Moyo wa mtu mwingine?

Maneno ya busara sana haya ..... ukitatafakari kwa undani wake.
 
Back
Top Bottom