Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Ijukiane kwamba...
Mwanamke anahitaji mwanamme mmoja tu duniani kumtimizia mahitaji yake yoote...

Hali ni tofauti si kwetu wanaume...
Mwanamme mmoja anahitaji wanawake wooote dunia nzima wamtimizia haja yake moja tu...

So kilichojitokeza hapo kwa huyo mke wa best yako ni kwamba...
Huyo mume wake ni kweli amaemtimizia baadhi tu ya mahitaji ya mke wake kama usafiri, elimu, pesa, chakula, na kadha wa kadha ila hapo kwenye NGONO sio penzi niseme tena NGONO jamaa kashindwa mtimizia so.....

Na mbeba vyuma ngono ila vingine kashinwa...
Na hapo ndio mwanamke hahaha huku na huku kutafuta wote awagawanye mahitaji yake.

Ndio hali halisi!!!
Samahani hapo juu kwenye kuhusi mume kuhitaji wake wote kuna any evidence kutoka ktk vitabu vya dini ama ni tamaa zetu
 
Ukiwa na pesa mingi halafu unamkuna mwanamke ile ile yani vizuri hakika ni ngumu kutoka nje ya ndoa au kukusaliti mkuu kigodoro.

Hivyo mwanamke atakusaliti hata kama una hela nyingi endapo unaendekezs viti vifuatavyo: haumkuni vizuri, hauna muda wa kukaa nae na n.k....sifa ya watu wenye hela hawana muda na wake zao isipokuwa tu wako busy na hela zao ndiyo maana unakuta wake zao wanawatafuta vijana handsome kama Mimi hapa ili kuwa hudumia kwa upande wa sex.

Kwa upande wa watu wanaojua kumkuna mwanamke ila hela hawana. Hapa mwanamke anakusaliti sio kwa sababu haridhiki na ukunaji wako bali ni kwa sababu huna hela na huwa unashindwa kumuekea mambo fulani Fulani hivi vizuri kisa huna hela.Hivyo basi, ili aweze kuwa na ulinzi katika mambo mengine anaamua kutafuta mwanaume mwenye hela!

Mwisho, mwanamke asiyekunwa vizuri hutafuta mkunaji mzuri wakati wale wanaokunwa vizuri ila mkunaji hana hela inamlazimu atafute mwanaume mwenye hela.

Mkuu umetoa somo la uhakika hapa. Nimekuelewa ya kwamba ili kumtuliza mwanamke yampasa mume kuwa na pesa pamoja na muda wa kumkuna mke ipasavyo.

Na inavyoonekana ni ngumu kubalance. Ukiwa na fedha muda wa kungonoka unakuwa huna. Ukiwa huna pesa unakuwa na muda mwingi wa kungonoka.

Basi kazi ipo. Acha tuchapiane tu.
 
80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
Hii inahusika pande zote kumbuka hilo...umalaya wanafanya na wanaume....hudumia mke mpe haki yake ya ndoa...ndiyo hitaji kuu
 
Hapo sasa ndio mtihani ulipo
Teh teh taratibu utawezajizuia tuu mana hata mbuyu ulianza kama mchicha. Tena wewe wa nyumban utafaa kabisa mana nataka niwe na brand ya nyumbani mola akijalia jitahid bwana.
 
Huyo kamsingizia shetaniii bure.......................


kukubali akubali yy kuvua avue yy kugegedwa agegedwe yeye kumsingizia amsingizie shetani......

Akapime Mimba kwanza
 
nimegunduakuwa pes hela pekeehavitoshi ila na tendo la maanayani migegedoinayoridhisha nimuhimu sanapia.....je huyu alikuwahapat hiyo....au hakuwa nahofu alipitiwa tu kama anavosema shetani..japosioshetanini sisi tu tunajisahau kwa tamaa...inawezakuwa shetani kweli lakini...haahah
 
Muwe wapole bana nanyie heeee kamegewa jirani mnalalamiiiika nyie hammegi, nyie vepe
 
Hiyo sababu tu, ila ni wazi wanawake hata hamuelewekagi mnataka nini kwenye mahusiano, mnaojielewa ni wachache mno yaani

tunaeleweka sanaaa nyie ndio hamueleweki ndio maana hamtuelewi!! mjielewe kwanza.
 
Back
Top Bottom