Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanawake mnataka nini ili mtulie?

You people jamani. ..
Tunakukwaza ee!!
Lakini sina nia hiyo.. Ni fikra tu.
Ndio maana nafikiria ipo haja ya kuruhusu mwanamke aoe/aolewe na zaidi ya mwanaume mmoja.
Tutapunguza maumivu ya pande zote,
 
Kwa kweli hata hatuelewi tunataka nini, hebu mtusamehe bure
 
Tunakukwaza ee!!
Lakini sina nia hiyo.. Ni fikra tu.
Ndio maana nafikiria ipo haja ya kuruhusu mwanamke aoe/aolewe na zaidi ya mwanaume mmoja.
Tutapunguza maumivu ya pande zote,
Nope hamnikwazi...
Haaaa kuna yule sijui wa mkoa gani alikua na Waume wawili
 
80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani


Muhanga mwingine huyu wa kupigwa chini na mademu, sasa amejaa chuki tupu, acha hizo mbona Wanawake watu wazuri tu tafuta saizi yako!
 
kuna mwalimu wangu wa dini aliwah kuniambia kua mwanamke anahitaji ATTENTION yako tu na sio kingine!! ila ktk hio attention ukiichambua vizur utaona anataka kila kitu anachoota kukipata!!
Nakubaliana kabisa na huyo mwalimu wake.
 
Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.
Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa ****** kama ***** lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.

Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.

Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.

Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.

Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.

Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.
Kumbuka mapnz so pesa, may b huyo mwanaume chumban n zgo na mwanamke dam bado inachemka, af mi nashindwa kuwaelewa nyie wanaume hv we una uhakika gan kama huyo mme wake na safar zote zile alikua hachepuki?? Kwnn iktokea mke kachepuka mnatoa lawama nyiing bt kwenu nyie mnacngzia tamaa why??
 
Haitakuja upate majibu hata siku 1dhidi ya mwanamke mkuu,ni watu wa ajabu sanaaaaaa
 
Back
Top Bottom