topr
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 700
- 654
Sija alalisha mkuu soma tena nilivyo malizia kwa mwanamke asiye kua na hofu ya munguHaya endeleeni tu kuhalalisha kuchepuka
Sija alalisha mkuu soma tena nilivyo malizia kwa mwanamke asiye kua na hofu ya munguHaya endeleeni tu kuhalalisha kuchepuka
You people jamani. ..Kuna wakati huwa nafikiri, pengine mwanamke hakuumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja

Tunakukwaza ee!!You people jamani. ..![]()
Teh we want everything in a packageHiyo sababu tu, ila ni wazi wanawake hata hamuelewekagi mnataka nini kwenye mahusiano, mnaojielewa ni wachache mno yaani
Haaa basi umechelewa kunijua mkuu.siku hizi mbona nimetuliaaaaUlikuwa muoga kutoaa comments ngumu kama hizi,ila leo umetisha , umetoa la moyoni.
Nope hamnikwazi...Tunakukwaza ee!!
Lakini sina nia hiyo.. Ni fikra tu.
Ndio maana nafikiria ipo haja ya kuruhusu mwanamke aoe/aolewe na zaidi ya mwanaume mmoja.
Tutapunguza maumivu ya pande zote,
80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
Kwa kweli hata hatuelewi tunataka nini, hebu mtusamehe bure
Teh we want everything in a package
Nakubaliana kabisa na huyo mwalimu wake.kuna mwalimu wangu wa dini aliwah kuniambia kua mwanamke anahitaji ATTENTION yako tu na sio kingine!! ila ktk hio attention ukiichambua vizur utaona anataka kila kitu anachoota kukipata!!
Kumbuka mapnz so pesa, may b huyo mwanaume chumban n zgo na mwanamke dam bado inachemka, af mi nashindwa kuwaelewa nyie wanaume hv we una uhakika gan kama huyo mme wake na safar zote zile alikua hachepuki?? Kwnn iktokea mke kachepuka mnatoa lawama nyiing bt kwenu nyie mnacngzia tamaa why??Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.
Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa ****** kama ***** lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.
Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.
Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.
Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.
Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.
Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.
Usijali jamani, njoo uchukuemkuu naomba hivyo vitu kwenye avatar -🙂
Mwanaume mwenye everything nadhani hayupo tehTeh we want everything in a package
Hahaha sisi tunataka everything, mtajua kama mnaweza kuwa na everything au vipi tehMwanaume mwenye everything nadhani hayupo teh