Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
enzi hizo ulikua na michepuko
Nlikuwa machachari nmeacha michepuko zaman nlivyooa
enzi hizo ulikua na michepuko
Very very trueMaisha ni tofauti sana kwenu na kwetu
Ni rahisi kumpata mwanamke wa kubanjuana lakini ni ngumu sana kumpata mke!
mmmmmh!! Afu huyu akusifie !!! ???? !!!
Hiyo hua inatokea mara nyingi bint ukianza kumsifia mara kwa mara ila inabidi muwe na ukarbu frani yaani utabanjua kiulaini hata mie nisha apply its so easy tena hata hakusumbui!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na huyu je ...??????
![]()
athari hii inawakumba pia wake za watu,
ukimsifia saana mara kwa mara ndio unajipa credit ya kula chema.
Nlikuwa machachari nmeacha michepuko zaman nlivyooa
Mi mwenyewe sijui ila kusifiwa kuna nifanya nakuwa comfortable sasa ikitokea na anayetoa sifa ana vigezo vingine Mf. mrefu, intelligent& brave, humble, hardworking, self displine etc etc najikuta na fall in love!
Aaaaaaaaa wapi SIPIGWI FREE P HATA SIKU MOJA SABABU YA SIFA ZA KIJINGA!
Ukiona unambanjua mwanamke ni coz amefika bei kwako, na kardhika na viwango vyako wala sio sifa ulizotoa, ilikuwa kwenye plan tu ukitaka upewe!
Utaanza kunipenda.