Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
next to sure
Oh kumbe next...basi tu sina mambo ya michepuko enzi zangu ngekuwa nipo pm namwaga sera
next to sure
sijampenda ...
Hilo ni kosa alilolifanya
Haitakiwi ujue anachotaka
Na inaonekana huyo ni mtoto kwenye masuala haya
But, i understand you ....!!
mie sijui ila nilikua nishamsoma....sa mtu anakwambia umependeza macho yote kwenye boobs
haha baba paroko hapo kwenye u understand me lol
Utaeleweka tu!!
Backward or?
Atakuwa sio handsome kama mm
Ndio maana nikasema kuwa huyo hakuwa anajua anachokifanya
Usitie hofu ni kweli nimekuelewa wala sio masikhara ....!!
Oh kumbe next...basi tu sina mambo ya michepuko enzi zangu ngekuwa nipo pm namwaga sera
kwa hiyo nikiwa na sifa hizo uwezekano wa kukupata upo?
weka picha nithaminishe mwenyewe
Wanaojua maana ya sifa wanajua ninachoongelea
Lakini pia sio sifa ilmradi sifa na nimesema kwenye mada ni sifa gani hizo!