Wanawake mna nini na hii kitu?

Wanawake mna nini na hii kitu?

Hilo ni kosa alilolifanya

Haitakiwi ujue anachotaka

Na inaonekana huyo ni mtoto kwenye masuala haya

But, i understand you ....!!

mie sijui ila nilikua nishamsoma....sa mtu anakwambia umependeza macho yote kwenye boobs

haha baba paroko hapo kwenye u understand me lol
 
mie sijui ila nilikua nishamsoma....sa mtu anakwambia umependeza macho yote kwenye boobs

haha baba paroko hapo kwenye u understand me lol

Ndio maana nikasema kuwa huyo hakuwa anajua anachokifanya

Usitie hofu ni kweli nimekuelewa wala sio masikhara ....!!
 
weka picha nithaminishe mwenyewe

Handsome-African-American-Man.png
 
Wanaojua maana ya sifa wanajua ninachoongelea

Lakini pia sio sifa ilmradi sifa na nimesema kwenye mada ni sifa gani hizo!

Nafikiri watakujibu na utakamilisha huu utafiti wako (majibu ya maswali yako)
 
Back
Top Bottom