Wanawake mna kiranga gani?

Sio wewe kweli?
Ukuje nikufanye Nartalie
d3214e9a5aaf1e8607ce78f13327bc2e.jpg

Madaktari wana dhambi
 
cc00add3da785a98561a2c46d204e6a0.jpg
b9e10cb0c7d2b14b0ac9f4a2eb35c90e.jpg
afcd072820046ef447e4c0e4b07fb2ce.jpg
a425e5af76385bf8eaf400f4735a5488.jpg
Mara kadhaa tumekuwa tukisikia simulizi kuhusu mashabiki ambao hubeba mapenzi yao kwa watu maarufu kwa kupitiliza, yaani mahaba yaliyopitiliza kiasi kutaka wafanane nao.

Hayo yametokea binti mdogo wa nchini Iran, Sahar Tabar ambaye amepata umaarufu hivi karibuni kutokana na sababu hii muhimu.

Binti huyu miaka 19, ambaye kwa sasa anawafuasi takribani 400,000 katika ukurasa wake wa Instagram, amepitia upasuaji mara kadhaa ili mradi tu anonekane kama mchezaji wa filamu nyota wa Hollywood, Angelina Jolie,ambaye anampenda zaidi.

Amefanyiwa upasuaji wa sura yake kwa takribani mara 50 ili aonekane kama mwanamama huyo wa kimarekani nyota wa filamu za 'Action'.

Anasema mara baada ya kufanyiwa upasuaji huo, alitakiwa kufuata masharti ya chakula ili aweze kupunguza uzito kwa lengo la kufikia umbo la Angelina Jolie mwenye mwili mwembamba pia.
 
Duh watu na mapenzi yao. Kama sio mahaba
Ni kweli mapenzi. Lakini nadhani kazi ya muumba ni ya kuacha kama ilivyo, ukijifanya kutaka kujiumba mwenyewe hatima yake ni kama hivyo sasa. Mwili na sura imegeuka kama zombi.
 
Binti Sahar Tabar wa Iran mwenye miaka 19, amefanya upasuaji wa sura yake mara 50 ka gharama kubwa ili afanane na muigizaji wa Marekani Angelina Jolie.

Nini maoni yako
acf241709fe171e11c1db597424d4af2.jpg
Hii dunia ina maajabu! Kilakukicha haeshi vituko hahahahahaaa!!!!
 
Maoni yangu: vitu vingine havifai kuigwa, ona sasa mtoto wa miaka 19 kama bibi wa miaka 80, ni upumbavu wa hali ya juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom