Haaaahahhaa mm nilijua bonto kusoma maelezo kumbe surgery...Hahahaa. Nimejikuta nacheka hiyo picha yake hapo juu. Sababu hana tofauti na ile midoli tunayoiona madukani.
Pole yake aiseee.
Hahahaaa. Hiyo nzuri sana kaka masai karibu.Siku hizi naingia kuchunga mwenyewe leo nimepumzishwa...naingia viwanja nijichanganye na kina Asprin
Huyo Dr naye kipofu.
SanaaHalaf alikuwa mzuriiii
Teh. haya bwana elviiAsantee ka kwako pia kazuri.
Ashe naleHahahaaa. Hiyo nzuri sana kaka masai karibu.
Ila atakuwa kipofu kweli aiseee. Ila tumlaumu kidogo huenda ikawa ni ajali kazini. Hahahahaaaa.
Wacha tu shoga yaani kuna vitu kwa kuviwaza akilini vinakuwaga vyepesi ila kimatendo vinakuwaga bahati nasibu na vitu vyenyewe ndio kama hivi sasa.Haaaahahhaa mm nilijua bonto kusoma maelezo kumbe surgery...
Poa DabyTeh. haya bwana elvii
Karibu sana kaka.Ashe nale
Mara 50 ajali njiani... amsusie amwoe yeye.
Ndo baaaaasii tena kalaghabao na ubonto wakeeWacha tu shoga yaani kuna vitu kwa kuviwaza akilini vinakuwaga vyepesi ila kimatendo vinakuwaga bahati nasibu na vitu vyenyewe ndio kama hivi sasa.
Na kwa jinsi kalivyo kadogo kana safari ndefu sana ya mpaka kajikubali. Hahahahaaaa.

Bora angebaki kama zamanibefore![]()
![]()
Mbona iyo picha ipo kama wrapped Photoshop!!
Kweli dunia haiishiwi vituko
Amwambie aliemfanyia surgery amrudishe alivyokuwa!before![]()