Mkeo tu ndiyo mdokozi usitubebeshee mizigo wake zetu.
Kwani wewe na mkeo kila mtu ana hela zake?
Mi na wanangu nyama daily,kwani hizo beer anashushia na matembele huko bar? Ye shea yake ya nyama bar,nyumbani dagaa
Kwani wewe na mkeo kila mtu ana hela zake?
Ofkoz kila mtu na hela yake,,mke wangu hajawahi kunipa hela ya dompo hata siku moja.....sasa mambo ya kuchomolewa kwenye wallet si ndo kuharibiana bajeti huko?
Mkuu nina wasiwasi haufahamu majukumu ya kindoa...am out!!!
nikikushika ndo utajua ni zetu soote!​hatudokoi hua tunachukua,ni za kwetu sote ebooo!!
Sasa Braza si ungemalizana tu na waifu kuliko kuleta hizi stori humu.. Au na yeye ni memba mwenzetu humu?
Zingekuwa za kwetu wote za kwenu mngekuwa wakali?ukinunua mahitaji ya ndani bado utataka urudishiwe?plz stay away from my wallet.
nikikushika ndo utajua ni zetu soote!
we chukua tu kuna siku utachukua ambayo nimetega halafu tutaongea kibantu ikishindikana tutaonge kiarabu na hii hujumlisha ukataji wa mkono uliochukua!
usiwe unapitia thread za hivi
utajifunza uchoyo bana!!mi si hua
nachukua kihamsini tu wala sio nyingi?!!