Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

Dada/mama umefanya vibaya...mwanamke uwe na haya walau kidogo...Imagine mwanao ndo anatukanwa the way unavyotukana mama mwenzako..Kuna kauli kwamba wanawake wengi wa jf ni magumegume...this sounds very true as far as we can prove from their statements e.g yours!
unadhani wanaotukanwa hapa hawana wazazi.au hawana watoto?
nataka tu wajue inauma vip kuitwa majina yasiyokuhusu!
 
Inakuuma nini? Wanakuomba uwapodoe? Angalia usafi wa mwili wako kwanza kabla hujaonyesha ni kwa namna gani unamfumo dume na itikadi za udhalilishaji wa wanawake. Kwanza nakuona uko shallow na local sana kwamba huna exposue yoyote. Labda uwe mwanamke kwanza tena mwenye uwezo na uelewa ndipo uzungumze habari ya usafi wa miili ya wanawake.


Hivi hii tabia ya wanawake kutembea na vipodozi kwenye mikoba yao inaashiria nini?
Ki ujumla mimi sikubaliani nayo kabisa,maana unakuta mtu ametoka nyumbani na ashakaa kwenye dressing table zaidi ya saa moja akijipamba tu.
Kama ni mafuta kashajipaka manukato kashajipulizia kila idara lakini bado akitoka anabeba hivyo vitu tena kwenye mkoba wake.
Tabia hii wanayo sana wanawake malaya ki ukweli nikimwona mwanamke kwenye daladala/kwenye gari yake anajipaka paka lip sticks huwa mimi namwona ni wale wale tu!
Ebu tujiulize kwani haiwezekani ukajiandaa vya kutosha ukiwa nyumbani na ukitoka umetoka?
Au ni zana za kujiweka katika hali ya kawaida baada ya kuchepuka?
Mbona first lady wetu akiwa kwenye majukumu yake ya kila siku hafungui begi kujipodoa tena?
Tunaulizana tu msipaniki kama ikikugusa!
 
Mkuu huyo ndio snowhite patakucha hapa kwa kinywa kichafu ni shida
Nenda naye taaaraatiibu asikuchonganishe na wamiliki huwa anaelewa we mpe somo taratibu mwisho wa siku atakuambia "aksante"

napenda sana mkijifanya kujua kutukana nitumie huo mdomo mchafu unaodhani ndio wangu!
huwezi tu kuita watu malaya kwa kuwa wsmejiremba!
nyuso ni zao
vipodozi ni vyao
mikono ni yao!
mkikaa muamini kila mnalolisema humu ni sawa mnajiumiza sana!
aksante itakuja tu!
baada ya kubadili mwelekeo wa thread yako!
ungeweza kupresent hoja yako kwa lugha nyingine kabisa!
mradi ulianza kwa namna ulivyoanza mtakipata tu mlichokitaka!
tulia kama umeshikwa nyonga maana kusema sema ya kike ni dalili za ushoga!
 
Last edited by a moderator:
Jpodoeni na nyie bas tuwasfie kama kujpodoa kwetu kunawauma sana

Hapo ndipo tatizo linapoanzia "uelewa"We hujaambia usijipodoe hata kidogo ni haki yako kimsingi
Lakini ni vema uwe na eneo maalumu sio kila sehemu
Ndio maana tumesema wenye taabia za kujipodoa bila kujali hata sehemu yenyewe ni malaya
Hilo lipo dunia nzima wee kama unabisha hilo fanya utafiti wako utajuwa kinachomaanishwa hapa.
 
unadhani wanaotukanwa hapa hawana wazazi.au hawana watoto?
nataka tu wajue inauma vip kuitwa majina yasiyokuhusu!
Naelewa sana kwamba wanawaudhi lakini hukupaswa kufika mbali hivyo..Usiruhusu moyo wako kupata dhambi zisizo za lazima mimi naomba kesho urudie post zako zote pengine kwa sasa hautaweza kuona unafanya nini kutokana na emotions and may be weekend factors...Mimi binafsi nikimuona mwanamke anatukana the way unavyofanya namjengea taswira fulani ambayo siwezi kuifuta kamwe...Plz be as smart as your ID...Itendee haki...reflect your ID..!
 
napenda sana mkijifanya kujua kutukana nitumie huo mdomo mchafu unaodhani ndio wangu!
huwezi tu kuita watu malaya kwa kuwa wsmejiremba!
nyuso ni zao
vipodozi ni vyao
mikono ni yao!
mkikaa muamini kila mnalolisema humu ni sawa mnajiumiza sana!
aksante itakuja tu!
baada ya kubadili mwelekeo wa thread yako!
ungeweza kupresent hoja yako kwa lugha nyingine kabisa!
mradi ulianza kwa namna ulivyoanza mtakipata tu mlichokitaka!
tulia kama umeshikwa nyonga maana kusema sema ya kike ni dalili za ushoga!

Kwa ukubwa wa POVU ulilotoa nimekutilia mashaka inawezekana huwa unahesabiwa kwenye foleni pia!!
 
Mi kinachonishangaza ajipodoe mwingne mwanaume aumia am sure mwanaume wa kweli mwenye kujitambua na aliyezaliwa na mwanamke kuandika statement ya kipuuzi hawana haya sijui walitaka wao wawe wanawake mwanaume mzima analeta tabia za vigodoro haya hawana

Twende zetu siasani mama...hapa siku hizi hapana mvuto kabisaaaaaa!!! Umemuona yule mbuzi wa porini Mwigulu anasema 'Tanzania hoyeeee' hiyo ndo slogan yake mpya halaf kajiita rais wa Singida eti..!
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndipo tatizo linapoanzia "uelewa"We hujaambia usijipodoe hata kidogo ni haki yako kimsingi
Lakini ni vema uwe na eneo maalumu sio kila sehemu
Ndio maana tumesema wenye taabia za kujipodoa bila kujali hata sehemu yenyewe ni malaya
Hilo lipo dunia nzima wee kama unabisha hilo fanya utafiti wako utajuwa kinachomaanishwa hapa.

Ingekuwa uelewa.nyinyi mngeekewa kwamba mwanamke urembo babu.na usmart wa mwanamke n kujpodoa, sawa na nyie mnahangaika kuchomekea mashat mpaka mnajkwa.npashe mie ndo kan'tangaze
 
kantang'aze yaani naona mleta huu uzi amepiga wanzuki ndo akaja hapa maana naona wakati aandika thread mikono ilikua yamtetemeka amelikoroga ngoja alinywe mxuuuu!
Auuuh. snowhite mbona maneno mazto hvo...! Punguza jzba mpendwa...punguza wangu.hata waskupe presha hao wenyewe ndo wamalaya wakubwa hao.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hii tabia ya wanawake kutembea na vipodozi kwenye mikoba yao inaashiria nini?
Ki ujumla mimi sikubaliani nayo kabisa,maana unakuta mtu ametoka nyumbani na ashakaa kwenye dressing table zaidi ya saa moja akijipamba tu.
Kama ni mafuta kashajipaka manukato kashajipulizia kila idara lakini bado akitoka anabeba hivyo vitu tena kwenye mkoba wake.
Tabia hii wanayo sana wanawake malaya ki ukweli nikimwona mwanamke kwenye daladala/kwenye gari yake anajipaka paka lip sticks huwa mimi namwona ni wale wale tu!
Ebu tujiulize kwani haiwezekani ukajiandaa vya kutosha ukiwa nyumbani na ukitoka umetoka?
Au ni zana za kujiweka katika hali ya kawaida baada ya kuchepuka?
Mbona first lady wetu akiwa kwenye majukumu yake ya kila siku hafungui begi kujipodoa tena?
Tunaulizana tu msipaniki kama ikikugusa!

ni kweli kabisa mkuu. wanawake wanaboa sana. unakuta mtu kajipaka mirangirangi hadi anafanana na JINI! khaaa! kinamama acheni hizo.
 
ni kweli kabisa mkuu. wanawake wanaboa sana. unakuta mtu kajipaka mirangirangi hadi anafanana na JINI! khaaa! kinamama acheni hizo.

Sasa kiongozi nimewachana ukweli wametoa povu na matusi sana
Si unajuwa ukweli unaumaa wameshindwa kuvumilia na kujenga hoja
Japokuwa baadhii wameelewa sio tabia ya maana
 
Back
Top Bottom