miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Na wewe pia ni mmojawapo mwenye tabia hiyo!!!
Tuliza mshono.....au una hamu???kujipodoa kama kesi nendeni mkashitaki.Alaaaaaaah
Na wewe pia ni mmojawapo mwenye tabia hiyo!!!
wanaojiita ni wanaume af kutwa na nyuzi za aina hii wote wanakunjwa tu!
rijali kamili huwezi kuwa kila siku unatizama women stuffs zikakuumiza kichwa!
juuuuust a bunch of fag ------!
Umalaya ni nini???
Nani alikuambia wanja inapakwa kwenye daladala?
Ina maana ulivyotoka kwako ulisahau kufanya hilo zoezi?
Mambo mengine mnaigaiga wazungu hayana hata maana.
Mtizamo wa kijinga walionao mabinti wa kitanzania kwamba jambo lolote linalofanywa na beyonce au amber rose.... ndo swaga za mjini.
Sio umalaya tu yaani ni umbuta nanga uliokubuhu
Ni kweli kiongozi
Kuna muda wamenishambulia sijui mlikuwa wapi
Lakini nimekimbizana nao mpaka wakaanza matusi,na wengine wamekimbia!
Haha tulikuwa njiani tunaelekea chalinze leo mbunge wetu anafuturisha..
umalaya ni kitendo cha kutoa kikojoleo kwa malipo kwa kila mtu pasipo kuwa na ndoa, both sides
Dah...enough jamani.....wapeni break
Mwanamke urembo,mwanamke kupendeza muhimu...
Acha tujipodoe wewe waume zetu wanapenda hivyoo
Tuliza mshono.....au una hamu???kujipodoa kama kesi nendeni mkashitaki.Alaaaaaaah