Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

kuna vitu huwezi kuvibadilisha yani vipo hivyoo kama vilivyo if A is A law of identity hii jaman kwani kipi cha ajabu au kutisha
 
Kujipodoa kwao kunakuwasha nini?????? Kila mtu na maisha yake anaishi apendavyo, afu Malaya anawajua Malaya wenzake tena wewe ndo Malaya mkubwa.
 
Umeonaee wametoka povu kweli!

yani nahili joto na minguo yao yakubana harafu yote plus mijasho,lazima aoge ndo upige ,wanapenda ngono ,pesa na ufahari,kichwani zero,unafumua marinda ukimwonyesha tu minoti unasikia baby fumua na humu nawajua na nishawala p:
 
Usiwe mjinga, anayekwambia ukweli anataka ujirekebishe!!! hajakutukana.

nijirekebishe nini kibaya hapo midomo ikikauka niogope kuto lipshine nipake kisa nitaonekana malaya khaaaa ukiiishi kwa kuogopa wanadamu hutofanikiwa kamwe katika nyanja zote
 
Kujipodoa kwao kunakuwasha nini?????? Kila mtu na maisha yake anaishi apendavyo, afu Malaya anawajua Malaya wenzake tena wewe ndo Malaya mkubwa.

Unaonekana una hoja nzuri juu ya hili jambo ila tatizo umejibu ukiwa ushapaniki
Ebu tuliza wenge panga hoja zako vizuri tutakuelewa tu
 
Ni malaya tu na kichwani kwake anawaza kupendeza atongozwe...midemi mingi ya sikuizi ni malaya tu itabisha apa kwasababu imewagusa.
 
Akili zako zinasomeka kupitia kwenye posts zako, Mungu amenibariki amenipa mama smart sana, na ninamshukuru sana kwa hilo, na siwezi kuwa na mama mjinga kama wewe!! na kama una uwezo wa kunizaa mimi basi bado nipo sahihi kukuita binti kwa sababu kichwa changu kinauwezo wa kufikiria mara 100 zaidi yako na ninawaulumia sana hao watoto utakaowazaa kwa sababu hawana bahati kama ya kwangu na sijui wamemkosea nini Mungu.

hahahahahahaha wazimu kweli wewe!
yani mje hapa kutukana wanawake mnavojiskia mkijibiwa mnavostahili ndo mnamkumbuka Mungu?
endelea kutukana usikimbilie mwavuli wa maandiko!
endelea na gear uliyoingia nayo!
busara unaijua?
unajua kuchambua hoja kwa busara?
rudi kweny post zako!
af ndo uanze kulia lia kama umekalia kengele za mwanaume mwenzio!
halafu niliposema nakuzaa nikiwa nimesimama sikumaanisha uwe mtoto wangu !maana wallahi ngekubania shingo usitoke laiti aliyekuzaa angejua analeta hasara kiasi gani!
 
nijirekebishe nini kibaya hapo midomo ikikauka niogope kuto lipshine nipake kisa nitaonekana malaya khaaaa ukiiishi kwa kuogopa wanadamu hutofanikiwa kamwe katika nyanja zote

Tena eti uwaogope migubegube ya Jf tena MMU!!!! Mxyuuuuuuuu mapouuuuuudaaaa kwa kwenda mbele tena namuomba dereva anisetia kioo nn sjui mirror knaitwa kle cha ndani nijpake npendeze mtoto wa kike mieeeee
 
hahahahahahaha wazimu kweli wewe!
Yani mje hapa kutukana wanawake mnavojiskia mkijibiwa mnavostahili ndo mnamkumbuka mungu?
Endelea kutukana usikimbilie mwavuli wa maandiko!
Endelea na gear uliyoingia nayo!
Busara unaijua?
Unajua kuchambua hoja kwa busara?
Rudi kweny post zako!
Af ndo uanze kulia lia kama umekalia kengele za mwanaume mwenzio!
Halafu niliposema nakuzaa nikiwa nimesimama sikumaanisha uwe mtoto wangu !maana wallahi ngekubania shingo usitoke laiti aliyekuzaa angejua analeta hasara kiasi gani!

jifunze kukubaliana na ukweli itakusaidia sana kwenye maisha yako.
 
Akili zako zinasomeka kupitia kwenye posts zako, Mungu amenibariki amenipa mama smart sana, na ninamshukuru sana kwa hilo, na siwezi kuwa na mama mjinga kama wewe!! na kama una uwezo wa kunizaa mimi basi bado nipo sahihi kukuita binti kwa sababu kichwa changu kinauwezo wa kufikiria mara 100 zaidi yako na ninawaulumia sana hao watoto utakaowazaa kwa sababu hawana bahati kama ya kwangu na sijui wamemkosea nini Mungu.

Mkuu huyo ndio snowhite patakucha hapa kwa kinywa kichafu ni shida
Nenda naye taaaraatiibu asikuchonganishe na wamiliki huwa anaelewa we mpe somo taratibu mwisho wa siku atakuambia "aksante"
 
Last edited by a moderator:
Waone povu lnavowatoka kama wanaumwa vfafa vle.heeeee dereva nsogezee kioo nijpodoe mieeeeeeee

Mi kinachonishangaza ajipodoe mwingne mwanaume aumia am sure mwanaume wa kweli mwenye kujitambua na aliyezaliwa na mwanamke kuandika statement ya kipuuzi hawana haya sijui walitaka wao wawe wanawake mwanaume mzima analeta tabia za vigodoro haya hawana
 
Waone povu lnavowatoka kama wanaumwa vfafa vle.heeeee dereva nsogezee kioo nijpodoe mieeeeeeee

Wee.. kan'tangaze ndio unazidi kutibua mioyo ya watu!!
Kwani lazima ujipodolee hapo kwenye gari?mbona mnakiburi cha sumaku?Khaa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom