Wanawake mbele ya pesa, mimba na UKIMWI ni matokeo tu

Wanawake mbele ya pesa, mimba na UKIMWI ni matokeo tu

Tatizo mna-date masista du na sio wanawake wanaojielewa...sio wanawake wote wapo after money.

Wote wako after money ila approach zao ndo tofauti na hivyo wengine kuonekana hawahitaji pesa bali penzi. Mwisho wa siku wote wanataka pesa.
 
Tatizo mna-date masista du na sio wanawake wanaojielewa...sio wanawake wote wapo after money.

Kila mwanamke mlalwa huhitaji pesa kazi ikimalizika. Tofauti ni namna ya kukutoa tu hiyo pesa.
 
So kwamba imeniuma, hamna chochote, after all cjawah mwomba my pesa, ananipa kwa kupenda.
 
Kila mwanamke mlalwa huhitaji pesa kazi ikimalizika. Tofauti ni namna ya kukutoa tu hiyo pesa.
Sio kila mwanamke. Aliyepo kwenye ndoa wala hahitaji pesa,aliyepo kwenye mahusiano serious ambayo tena focus kujenga future pamoja nae wala hahitaji pesa... unless unazungumzia aisee
 
Ujanja ni kutafuta Pesa na ziwe zinatumika kwa maendeleo yako na familia yako tu. kwa wanawake ziwe kama chambo tu. Unawagonga lakini hawazipati.
 
So kwamba imeniuma, hamna chochote, after all cjawah mwomba my pesa, ananipa kwa kupenda.
Hivi mwizi akiwa anapewa kipigo na wanachi, halafu akakimbilia kituo cha polisi, huwa anakimbilia kituoni hapo kwa kupenda?
 
Kweli mkuu mi huwa nawagegeda hawaulizi ndom kabisa tukiwa bwax
 
Hivi mwizi akiwa anapewa kipigo na wanachi, halafu akakimbilia kituo cha polisi, huwa anakimbilia kituoni hapo kwa kupenda?
Kila mtu na roho yake. Ukipenda boga penda na UA lake.
 
Kama ulikuwa huwafamu vizuri hawa ndugu zetu, mama zetu.
Usitenge muda kuwafahamu, sababu utaweza kuwa chizi
Pesa wananusa kama sisimizi anavyo nusa sukari ipo wapi
Ukiwa na pesa ya kutosha utaweza kuwachanganya kijiji kizima
ukifulia kijiji kizima wanakuacha, utaanza kuonekana kama kituko

Aliye umba pesa Mr pilato kweli kaziloga.
Ukiwa na pesa, wanawake wanacho itaji ni pesa yako tu.
utumie condom, usitumie shauri yako
pesa imewatoa ufahamu kabisaaaaa

Pesa ina mchanganya asijitambua,kwa upande wangu huwezi kunijia na vi pesa vyako vya msimu au uwe nazo tele
kwenye magunia kama huna ubinadamu kujali thamani yangu au kuniheshimu pesa yako kaa nayo..au niseme mwanamke anaejua thamani yake hawezi kupelekesha na hela...
 
Pesa ina mchanganya asijitambua,kwa upande wangu huwezi kunijia na vi pesa vyako vya msimu au uwe nazo tele
kwenye magunia kama huna ubinadamu kujali thamani yangu au kuniheshimu pesa yako kaa nayo..au niseme mwanamke anaejua thamani yake hawezi kupelekesha na hela...
Sijasahau ahadi yangu
 
Back
Top Bottom