Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Na mimi bana we vipiUko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako
Na mimi bana we vipiUko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako

Hahahaaa wacha weeHayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
Hongera ulipata alieithamini...*I thank God sikuoa Mke wa mtu *
Haya ni maneno ya Shemeji yenu siku ile ya harusi.
Huwa najiona wa thamani sana kwake.
. Na nimemwambia nitakuwa mwaminifu hata kufa.
Mdada wanaume wanaopenda wasichana watulivu wapo tele jitunze tu weka msimamo had I mwisho..
Njia iliyonisaidia mimi ni shule..nilisoma kutwa drs la kwanza had I la saba kisha nikaenda boarding form one had six shule za wasichana tu na za masista
Walimu wasumbufu walikuwepo ila kwa neema za mungu nilivuka salama.
Sala yangu kwa mungu ilikuwa *mungu naomba unipe mume mwema awe ni ( nikataja sifa zake dhehebu ilikuwa miongoni)
Nikaongeza na vile unavyoona vitanifaa baba.
Nilipata mchumba hiyo hakuamini nilivyomwbia sijawahi hadi ndoa. Ilibidi anitambulishe kwa marafiki, ndugu na jamaa...
Akatoa posa, mahari kisha ndoa. Tuna watoto wawili sasa na tunaivshi maisha ya Furaha na ya kumpendeza mungu
On the other side nilikuta hajamaliza mahusiano na Dada aliyemzalisha.
.. a very painful story...ila kwa sababu ni MTU unaishi nae na mnapata watoto nilichukua jukumu la kumsamehe na kuendelea kumpenda..
Urithi wa mwanamke juu ya ardhi ni juu ya mwanaume aliyemtoa bikira.
Heee
Mbona umekuwa mkalii shogaa
Hivi shoga kuna uzi wa wanaume kama huu umeuona?Hahahaaa!! Hivi nawe ni bikra eeh?!!!
Nipo
Nimeuona, wavulana wa huku utawaweza sasa!!! Kila kitu mashindano.Hivi shoga kuna uzi wa wanaume kama huu umeuona?
Halafu sioni hata wanachokipataNimeuona, wavulana wa huku utawaweza sasa!!! Kila kitu mashindano.
Utoto tu, wakikua wataacha.Halafu sioni hata wanachokipata
Kwa hawa wa jf watachelewa sana aisee huko kukua.Utoto tu, wakikua wataacha.

Kwa hawa wa jf watachelewa sana aisee huko kukua.![]()
![]()
![]()
bikra ipi mkuu??Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia niliweka nia kutokumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana, wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
Wavulana walifika mahali wakawa wananiogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na waliyokuwa rafiki zangu. Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia na mengine mengi tu lakini hayakuniyumbisha.
Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe. Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapofunga ndoa.
Karibuni.

Huyu itakuwa anazungumzia HALICHACHI.bikra ipi mkuu??![]()
![]()