Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Hahaaaa! Wameshasikia lakini. Wangoje huko PM
simpaka niwe nayo lbd ya nyumaHahaaaa! Wameshasikia lakini. Wangoje huko PM
simpaka niwe nayo lbd ya nyumaWewe weweee. Ntakuchapa kwa maneno yako ujue.![]()
![]()
![]()
![]()
simpaka niwe nayo lbd ya nyuma

Na We bado hujaguswa??Baba unaua bendi tupo sema mtoa mada hajawa specific kuwani ipi tuje!
Vita ya ubikira haijawai kumuacha Mtu salamaHongera sana mamaa.. ila hii vita ya ubikra sidhani kama itakuacha salama..
sasa dada sinijibu la swali lakoWewe weweee. Ntakuchapa kwa maneno yako ujue.![]()
![]()
![]()

Usikimbie sasa njoo. Kwani nimeuliza maswali mangapi jamani. Ila mdogo wangu una visa weyeee.sasa dada sinijibu la swali lako![]()
![]()
![]()

Kwa majibu haya huwez kua na bikra hata ile ya limaoHayo yoote uliyoongea haya husiani na nilichokiandika, maneno kama yako nilishaambiwa sana lkn sikubabaika na bado sitababaika najua ninacho kifanya. na uzuri mwenyewe eggyjay siyo Mungu na wala sijitunza ili nikufurahishe.
Nimefanya hivyo kumuheshimu Mungu na si vinginevyo , huko pm unaposema sina mpango napo ...mwisho nikuhakikishie aliyenisimamia kujitunza mpaka Leo ndiye atakaye nisimamia mpaka ndoa.
Nnayo ya nyuma!Humu sidhani kama kuna mwenye bikra
Na mie nimeshangaa! Ata bikra nao wanakuka ban!!!!Mods hawana huruma...wamemlamba BAN hata mtoto bikra....!



Ukaenda kavu mwenyewe ukidhani yupo salama!!!niliwahi kutongoza demu mara ya kwanza alinikatalia eti yeye bikira hajawahi..
siku aliyoachia aliniambukiza na kisonono..
kumbe kazoefu.
Kumbe tupo wengi mama!Mimi bikira mwenzio nipo hapa!
Hairuhusiwi kukata tamaa. Na tutawapata tu mabikra wenzetu.Kweli sisi wenye "bikira" hadi Leo hii, na hii hali ngumu ya uchumi tumevumilia tusikate tamaa tujitunze hadi siku tutakapo ingia kwenye ndoa na mwanaume asiye "bikira"
Tupo wengi mydear. Sijui kwanini hawatuaminiKumbe tupo wengi mama!
Atarudi tu usijali. Umemiss hadithi eee.Yani wee acha tu nimemmisijeee

Mnazidi kuongezeka aiseeKumbe tupo wengi mama!
. Mzidi kujitunza basi mpaka mlipopanga mfike salama.
